VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,866
Wafanyakazi wa UDSM wamelipwa mishahara ya mwezi uliopita bila makato ya mikopo katika Benki mbalimbali, makato ya SACCOS, malipo ya nyumba na kadhalika. Sasa utawala wa Chuo unahaha kuwasihi wafanyakazi warudishe yaliyopaswa kuwa makato yasiyokatwa.
Nyaraka za kimshahara za UDSM zinaonesha kuwa makato pekee yaliyokatwa ni michango kwenye mifuko ya hifadhi za jamii na kodi za serikali (PAYE). Wafanyakazi warudishe yaliyotakiwa kuwa makato?
Mzee Tupatupa wa Escrow, Dar es Salaam
Nyaraka za kimshahara za UDSM zinaonesha kuwa makato pekee yaliyokatwa ni michango kwenye mifuko ya hifadhi za jamii na kodi za serikali (PAYE). Wafanyakazi warudishe yaliyotakiwa kuwa makato?
Mzee Tupatupa wa Escrow, Dar es Salaam