Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,390
- 21,040
Habari wakuu, niende moja kwamoja kwenye hii habari.
Taarifa zilikuwa zikienea kuwa nyota huyo wa muziki duniani mwenye umri wa miaka 61 amekuwa akitoka na kijana huyo ambaye ni mnenguaji wake, Baba mzazi wa Ahlamalik, Drune amethibitisha kuwa ni kweli wa wili hao wanatoka kimapenzi na wamefikia hatua kubwa sana.
Mzee aliendelea kuzungumza kuwa penzi la kijana wake na Queen of Pop lina mwaka mmoja sasa na walikutana mwaka 2015 kwenye usaili wa wanenguaji ambapo Madonna alimpitisha Ahlamalik kati ya wote waliokuja.
Usifikiri kama baba wa kijana huyo labda anaumia kuwa mwanaye kulipenda Jimama alimaliza kwa kusema mapenzi hayana umri na mwanae anaishi maisha mazuri na anafurahia.
"Love has no age, my son is livin la Vida loca and I'm just happy for him"
Taarifa zilikuwa zikienea kuwa nyota huyo wa muziki duniani mwenye umri wa miaka 61 amekuwa akitoka na kijana huyo ambaye ni mnenguaji wake, Baba mzazi wa Ahlamalik, Drune amethibitisha kuwa ni kweli wa wili hao wanatoka kimapenzi na wamefikia hatua kubwa sana.
Mzee aliendelea kuzungumza kuwa penzi la kijana wake na Queen of Pop lina mwaka mmoja sasa na walikutana mwaka 2015 kwenye usaili wa wanenguaji ambapo Madonna alimpitisha Ahlamalik kati ya wote waliokuja.
Usifikiri kama baba wa kijana huyo labda anaumia kuwa mwanaye kulipenda Jimama alimaliza kwa kusema mapenzi hayana umri na mwanae anaishi maisha mazuri na anafurahia.
"Love has no age, my son is livin la Vida loca and I'm just happy for him"