Madogo achaneni na masingle mother

Madogo achaneni na masingle mother

Vitalis Msungwite

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2014
Posts
3,318
Reaction score
7,984
Lengo si kuwakejeli watu hao bali ni kisa tu kama visa vingine. Kuna nyuzi za madogo wa 26> ages wamedata sana kwa single mothers.

Back to the story;

Nina mdogo wangu mmoja ana miaka 24, na anapiga boda boda. Toka abarehe hajawahi kuopoa videm vya level zake,yeye ni mitandam tu kwa kigezo cha ghalama na upatikanaji ( cost and availability). Mwaka Jana nilikutana nae na nikamshauri achane na watu waliomzidi umri na atafute wa chini yake (17 - 20),akakubali.

Hakubadili msimamo akawa anatembea na masingle mother wenye watoto 2,3,4 na akipata mwenye mtoto 1 atajisifu kama kapata bikra.

Juzi kati alinambia bro nimepata kitu kikali na nitakileta ukione. Wakaja home dogo na shem, nikaandaa msosi wanguvu, na nilifurahi sana. Sifa za Shem ni white, short chases na churalized woman. Nikamkubali dogo kwa uchaguzi alioufanya.

Jana nimekaa na wife nikawa namsifu dogo kwa uchaguzi mzuri na kuachana na masingle mother. Aisee wife alinicheka mpaka akanikera, baadae akanambia "kazi zako zinaluweka mbali na jamii". Akaendelea kwa kusema kuwa yule binti anamjua na anawatoto 4!! Ila umbo ndo linambeba. Nikamtafuta sister nae kanipa the same Info's.

Agghh aisee hali niliyonayo huyu dogo lazima anirudishie hela niliyotumia kumpongeza. Nilipokuwa nae kabla nilimshauri amuoe kabisa yule dada ila kwasasa mhhh!

Akioa hapo huyo hata handicap inagoma, 1 × 2 ni 0 - 4 kabla ya mechi. Nimeshamwambia kuwa lazima arudishe hela yangu sitaki upuuzi mimi.
 
Hivi hili neno 'single mother' tafsiri sahihibya kiswahili ni nini? Amezaa njee ya ndoa, mtoto hana baba kabisa (ubin), ana baba ila hawakai pamoja...mwenye uelewa tafadhali !
 
Lengo si kuwakejeli watu hao bali ni kisa tu kama visa vingine. Kuna nyuzi za madogo wa 26> ages wamedata sana kwa single mothers.

Back to the story;

Nina mdogo wangu mmoja ana miaka 24, na anapiga boda boda. Toka abarehe hajawahi kuopoa videm vya level zake,yeye ni mitandam tu kwa kigezo cha ghalama na upatikanaji ( cost and availability). Mwaka Jana nilikutana nae na nikamshauri achane na watu waliomzidi umri na atafute wa chini yake (17 - 20),akakubali.

Hakubadili msimamo akawa anatembea na masingle mother wenye watoto 2,3,4 na akipata mwenye mtoto 1 atajisifu kama kapata bikra.

Juzi kati alinambia bro nimepata kitu kikali na nitakileta ukione. Wakaja home dogo na shem, nikaandaa msosi wanguvu, na nilifurahi sana. Sifa za Shem ni white, short chases na churalized woman. Nikamkubali dogo kwa uchaguzi alioufanya.

Jana nimekaa na wife nikawa namsifu dogo kwa uchaguzi mzuri na kuachana na masingle mother. Aisee wife alinicheka mpaka akanikera, baadae akanambia "kazi zako zinaluweka mbali na jamii". Akaendelea kwa kusema kuwa yule binti anamjua na anawatoto 4!! Ila umbo ndo linambeba. Nikamtafuta sister nae kanipa the same Info's.

Agghh aisee hali niliyonayo huyu dogo lazima anirudishie hela niliyotumia kumpongeza. Nilipokuwa nae kabla nilimshauri amuoe kabisa yule dada ila kwasasa mhhh!

Akioa hapo huyo hata handicap inagoma, 1 × 2 ni 0 - 4 kabla ya mechi. Nimeshamwambia kuwa lazima arudishe hela yangu sitaki upuuzi mimi.
Watoto 4?

Mbaya zaidi kama aliwazaa kwa baba tofauti lazima mdogo wako apate pressure.

Kiukweli huwa nawapenda single motherz ila awe na mtoto mmoja na kwa vigezo na masharti vizingatiwe.
 
Mapenzi Ni game inayom-favor sana mwanaume kuliko mwanamke hivo basi mwanamke lazima awe mjanja sana kucheza hii game...

Mwanamke kuwa na mtoto Ni heshima kubwa sana lakini pia Ni dharau kubwa sana machoni pa Mwanaume.Huu Ni mtazamo wa wanaume wengi sana sana katika jamii yetu ..

Heshima kubwa Ni kama amezaa ndani ya ndoa,akizaa nje ya ndoa yaani sijui inakuwaje ila automatic tu unaonekana kituko machoni pa wanaume wengi,Cha ajabu mwanamke anaweza lala hata na wanaume [emoji817] lkn kisa hajashika mimba au ameshika akatoa basi anaonekana Bora Zaid ya yule ambaye hajawahi hata kufikish watano ila akapata mimba.

Hii Ni game ngumu sana,women should learn to play safe.Thamani ya mwanamke aliyezaa sio kwamba imeshuka ila machoni pa opposite sex inaonekana imeshuka..Ni kama mwanaume ukiwa huna hela wala future,sio kwamba huna thamani ila machoni pa wanawake wengi unaonekana kituko sio kosa la mwanamke kukuona kituko Wala sio kosa mwanaume kumuona mwanamke kituko, again it's game [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Play safe.

Ukiwa na bahati ndo utapata wanaume wachache wenye fantasy zao zakupenda majimama very few men tena wengi wao hawana mbele wala nyuma.
 
Single moms wengi hawajielewi. Nashauri vijana muwapige miti tu ila sio kuwaoa, waliowapa mimba walishindwa nini kuwaoa?

Wapigeni miti muwaongezee mawazo tu. Akijileta piga miti siku moja alafu mchinjie baharini.

Wengi wao ni wale wamewakataa wanaume wa maana wa kuwaoa, wakaenda kwa wanaume wanaowataka wao, sasa waliwataka wao wenyewe, wabebane na hiyo misala.
 
Masingle mama wanaboa tu kwa kuona mtoto alie nae ana thamani kuzidi ww uliempenda kila mara anakutajia mwanae mwanae wanakera sana alaf ukimuacha anaanza lawama
Lengo si kuwakejeli watu hao bali ni kisa tu kama visa vingine. Kuna nyuzi za madogo wa 26> ages wamedata sana kwa single mothers.

Back to the story;

Nina mdogo wangu mmoja ana miaka 24, na anapiga boda boda. Toka abarehe hajawahi kuopoa videm vya level zake,yeye ni mitandam tu kwa kigezo cha ghalama na upatikanaji ( cost and availability). Mwaka Jana nilikutana nae na nikamshauri achane na watu waliomzidi umri na atafute wa chini yake (17 - 20),akakubali.

Hakubadili msimamo akawa anatembea na masingle mother wenye watoto 2,3,4 na akipata mwenye mtoto 1 atajisifu kama kapata bikra.

Juzi kati alinambia bro nimepata kitu kikali na nitakileta ukione. Wakaja home dogo na shem, nikaandaa msosi wanguvu, na nilifurahi sana. Sifa za Shem ni white, short chases na churalized woman. Nikamkubali dogo kwa uchaguzi alioufanya.

Jana nimekaa na wife nikawa namsifu dogo kwa uchaguzi mzuri na kuachana na masingle mother. Aisee wife alinicheka mpaka akanikera, baadae akanambia "kazi zako zinaluweka mbali na jamii". Akaendelea kwa kusema kuwa yule binti anamjua na anawatoto 4!! Ila umbo ndo linambeba. Nikamtafuta sister nae kanipa the same Info's.

Agghh aisee hali niliyonayo huyu dogo lazima anirudishie hela niliyotumia kumpongeza. Nilipokuwa nae kabla nilimshauri amuoe kabisa yule dada ila kwasasa mhhh!

Akioa hapo huyo hata handicap inagoma, 1 × 2 ni 0 - 4 kabla ya mechi. Nimeshamwambia kuwa lazima arudishe hela yangu sitaki upuuzi mimi.
 
Back
Top Bottom