Madiwani watano wa CHADEMA jiji la Arusha wajivua madaraka

Madiwani watano wa CHADEMA jiji la Arusha wajivua madaraka

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk Maulid Madeni amesema amepokea barua za madiwani watano wa CHADEMA kujiuzulu katika jiji la Arusha

====
 
Keep on dreaming,mkija kungamua mtakuwa mmebaki ninyi na mbowe
Hata hivyo miaka yao Kitano imebaki miez sita na kwa sababu wamekubali kinunuliwa kwa bei che kama makhaba wa kambi ya fisi waende tu , ila wajue yajayo chadema yanafuhisha, Tundu lisu ndiye atakaye ikomboa chadema dhidi ya hao mbwa mwitu.
 
Hao watarudishwa kwa kuteuliwa au kupita bila kupingwa kupitia chama cha manunuzi. Huo mchongo wote uko wazi.
 
Haishangazi maana wanatekeleza mpango mfu wa Jiwe wa kutaka kuua upinani nchini.
 
JPM ataruhusu uchaguzi huru na wa haki!? Nguvu ya mambo ipo majini. CCM wajitathimini kwa uchaguzi huru na wa haki!!! Vinginevyo ni maigizo ya ajabu,kizandiki na kishamba zama hizi.
Hawezi kuruhusu kamwe wala kutangaza anataka HAKI kwenye uchaguzi.hana huo Uanaume
 
Back
Top Bottom