jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Mahakama ni suluhu ya mwishoSheria inasemaje kwani kama hawajalipwa kodi? kama madiwani wanakua na akili hizo sisi wananchi wa kawaida inakuwaje? ina maana hawaamini mahakama wala police hadi wakadai kwa fujo zote hizo? wanajua kuwa watapaswa kulipa hasara itakayotokana na wao kuzuia uzalishaji kwa siku hiyo? mwisho wa siku watakuta kwa ujinga huo wao ndio watakua wanadaiwa pesa nyingi