Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Kama hiyo complex ilitegemea pia mchango wa halmashauri ni wazi kuwa ccm wakiwa ndio meya hawatatenga fungu hilo kwani kufanya hivyo itakuwa kumpa ulaji huyo mbunge/diwani wa cdm. Ndiyo maana unaambiwa kwanza kiongozi (meya) awe aliyechaguliwa kwa ridhaa ya watu then awatumikie; huyu wa kuchakachua hawezi!
Kazi si atapewa GAIMO Construction; atakubali tuu