Madiwani wa CHADEMA Arusha wamfukuza mkurugenzi wa TAMISEMI

Naomba mniweke sawa; wamemfukuza kazi au wamegoma kuhudhuria kikao chake? ni mkurugenzi wa Manispaa au kutoka waizarani akitembelea Manispaa? Clarification please
 
Kwa style hii tutafika tu japo itachukua muda lakini haki haipatikani kwa siku moja hasa kama walioshikilia haki ni ccm na serikali ya kikwete
 
Source ni mimi mwenyewe nilikuwa olasit wanakofanyia semina,mie nipo kwenye ukumbi mwingine ila naona kilichoendelea
mwenyekiti wao ni Estom malla ambaye pia anagombea umeya
mkurugenzi aliyefukuzwa ni wa tamisemi ofisi ya waziri mkuu anyeshughulikia halmashauri,ndiye alitumwa kwa ajili ya semina,akashindwa kujibu hoja za msingi ndipo wakamfukuza nje ya ukum
 
That is good move, naunga mkono uamuzi huo kwani Tamisemi pia wamechangia kwa kukubali meya aliyechaguliwa kinyume na taratibu.
 
Katika semina elekezi,madiwani wa chadema waibana serikali,kuanzia mkurugenzi tamisemi,RC,DC wakishinikiza ufafanuzi juu ya uchaguzi wa meya.Katika hali ya msisitizo wamemfukuza mkurugenzi wa tamisemi,na msimamo wao ni kutomtambua meya.
Hadi kieleweke

Nashangaa kweli kwa waleta mada.. hebu nikuulize hao madiwani ni wa chadema au ni madiwani wa serikali?

Tofautisha diwani na mgombea udiwani..
 
Watamfukuzaje Mkurugenzi wa TAMISEMI wakati wao siyo mamlaka iliyomwajiri?


Duh mkuu afdhali umestukia ndoto za ali nacha.Uchaguzi umekwisha kama kuna hawajaridhika waende mahakamani wakadai haki mengi ni story za kufurahishana haziamliki !!!!.
 
Duh mkuu afdhali umestukia ndoto za ali nacha.Uchaguzi umekwisha kama kuna hawajaridhika waende mahakamani wakadai haki mengi ni story za kufurahishana haziamliki !!!!.
Sometimes utaonena muungwana kukubali ukweli unaambiwa kafukuzwa ukumbini wewe hutaki LOL!! hata kama una upofu wa upenzi this is too much.
 
Waanze kazi ya kuwatumikia wananchi,manake hawshindwi fika 2015 wakigomea Meya na kusema ndo sababu ya kutotimiza ahadi zao kwa wananchi.....:coffee:
Michelle, utaweza kuanza safari wakati dereva unamuona amejaa chang'aa kichwani :laugh: , nadhani hapo safari haipo mpaka dereva abadilishwe.
 
Madiwani wa CHADEMA na Mbunge wenu wafanyabiashara wadogo wa Arusha wanasubiri kwa hamu MACHINGA COMPLEX, sasa kama mtaendelea kusuguana na serikali sijui ni Serikali ipi itakayotenga bajeti kwa ajili ya kutekeleza ahadi hiyo ya CDM. Kwa kuwa CDM haijaunda Serikali, kubakia kuwa WATCH DOG kwa Halmashauri ya Arusha ni afadhali kuliko kuongoza.
 
Uchaguzi batili kiasi hicho unapoteza gharama za mahakama. Cha msingi ni kurudia tu uchaguzi wa meya haraka na kuendelea na shughuli. kama SISIMI ilishinda itajulikana. Mbona kuogopa. Au alichakachua? Na Meya batili je akikaa kwenye kiti anaondolewa?
 
Uchaguzi batili kiasi hicho unapoteza gharama za mahakama. Cha msingi ni kurudia tu uchaguzi wa meya haraka na kuendelea na shughuli. kama SISIMI ilishinda itajulikana. Mbona kuogopa. Au alichakachua? Na Meya batili je akikaa kwenye kiti anaondolewa?

Mkuchika keshatangaza kuwa TAMISEMI inamtambua Gaudence Lyimo kama Meya halali wa Manispaa ya Arusha, why continue fighting? CDM wawekeze kwa wananchi next election tuwape madiwani wa kutosha
 
Katika semina elekezi,madiwani wa chadema waibana serikali,kuanzia mkurugenzi tamisemi,RC,DC wakishinikiza ufafanuzi juu ya uchaguzi wa meya.Katika hali ya msisitizo wamemfukuza mkurugenzi wa tamisemi,na msimamo wao ni kutomtambua meya.
Hadi kieleweke

Safi kabisa. Huyo ndio ambaye ameleta huo upuuzi. Na huyo meli kitanda sijamsikia tena, vipi amekufa nini? Leo nimesikia eti mkuchika amesema uchaguzi ulikuwa halali. Sasa sijaelewa hapo ametumia cheo cha uwaziri au cha ukatibu mwenezi wa ccm.
 
Sio swala la mkuchika na tamisemi kumtambua bali ni swala la sheria kufuatwa,hatuwezi kukubali uvunjwaji wa sheria kwa matamko ya mkuchika na tamisemi,we will fight for our rights forever
 
Back
Top Bottom