Madiwani Chadema walipuana.

Madiwani Chadema walipuana.

Juliana Shonza

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
2,009
Reaction score
1,607
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.

Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...
 
You are just a dead dog .Can you do it without Chadema ? Sasa leo Chadema ikifa si utakuwa huna kazi maana siasa zako ni Chadema na matusi .You are just a corpse
 
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...
Wewe uliye uliyeandika jina la Mungu kwa herufi ndogo ndiye mwenye laana.
 
huna kazi ya kufanya, ukilala ukiamka unaiota chadema................ hamia ccm kwani umekatazwa!!! nakufananisha na mtu aliyeachana na mpezn wake ukiona anayemuongelea mwenzake sana kwa ubaya badala ya ku move on basi ndie kaumia get a life u moron!!!
 
Shonza pole sana dada yangu, siku zote nilijua unapigwa mawe bila sababu kumbe leo nimegundua kichwani huna kitu

Tangu lini Diwani akawa mtendaji ? Diwani yeye kazi yake ni kusimamia maendeleo na kuwabana watendaji ? inaingia akilini kuwa Diwani anakusanya ushuru mpaka aghushi vitabu vya kukusanyia ushuru ?

Kabla uja post uchafu huu humu ungemuuliza aliyekupa habari , umesikia ujinga ukaongeza na ujinga kutuandikia mambo ya kipumbavu humu
 
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...


Hivi kumbe Chagulans bado anajiita CHADEMA? Hivi Division Five kumbe zilianza kutumika muda eeh?
 
Unawashwa ww!! Who is Chagulani? Pilipili usioila yakuwashia nn?
 
Mnachosha na siasa zenu chafu, kila kukicha CDM... fanyni mambo ya kujenga taifa kwanza.
Nchini yetu Tanzania bado tupo nyuma sana, so mkiendekeza hizi siasa zenu za mitandaoni tena zisizo na tija tutabaki kulajilaumu.. tena hasa wewe ni kijana ila kichwani umejaza upepo
 
Dah... angalau leo umeokoteza kitu cha kukuweka hewani...!!
 
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.

Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...

Nilikudharau tangia wakati ulipelekwa UK eti kukupa good time uje kupambana na chadema .Mwisho kwa akili hizi nadhani wanajuta hata kupoteza muda na pesa zao .Endelea kuokoteza maneno uje nayo hapa .Laana mkubwa wewe
 
Madiwani wawili wa
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha
Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu
Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa
ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika
kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya
kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu
katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi
feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa
sheria.

Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu
mwenyewe...

wewe si msemaji wa chadema. Wewe umechoka kisiasa kwani bila chadema huwezi jitokeza jamvini

pole kwa kufilisika mama.
 
we kiumbe naona ubabaika na CHADEMA kama umeolewa huku . CHADEMA mwendo , mdundo , na utangoja sana...... na badoooo kudadeki, mbona mtasema sana , mpaka 2015, mtasema yote, CDM mwendo mdundo na bado.jpg
 
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.

Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...


Madiwani wawili hawawezi kukubeba taswira nzima ya chama.
Maana aliyegushi stakabadhi hajaandika kuwa ni chadema imegushi.
Hayo ni mawazo yako binafsi ukizingatia wewe ni ukoo wa panya
 
Maskini ya mungu hebu mwangalieni huyu binti wa watu Juliana Shonza anavyohangaika. Kwa kweli hili jukumu la propaganda alizopewa na Mwigulu inamshinda sasa.

Ingekuwa siyo Dude kuwaharibia huyu mrembo angekuwa anakula kiulaini........... Future ya mrembo imeishia na PM7.

Pole Juliana Shonza
 
Last edited by a moderator:
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.

Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...

si kweli Chama hakiwezi kuwa na Laana, labda walio ndani ya chama ndio wanaweza kuwa na Laana.
hata hivyo laana ya baadhi ya viongozi wa Ccm ni zaidi kuliko laana za viongozi wa vyama vingine
 
huna kazi ya kufanya, ukilala ukiamka unaiota chadema................ hamia ccm kwani umekatazwa!!! nakufananisha na mtu aliyeachana na mpezn wake ukiona anayemuongelea mwenzake sana kwa ubaya badala ya ku move on basi ndie kaumia get a life u moron!!!
Kosa langu hasa ni lipi..,kufikisha habari hii au..? mbona imeanza mvua ya matusi..hivi ninyi wafuasi wa babu mnamatatizo gani katika vichwa vyenu..?
 
Bibie mrembo Shonza huoni kuwa taarifa yako hii is very contradictory?Ebu weka sawa hapo tuelewe kama mtuhumiwa ni mtendaji au diwani au ulimaanisha kwamba diwani ndiye mtendaji pia?
 
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.

Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...

Pole sana Benazir.

Bora umemtaja huyo mungu anayeandikwa kwa kuanza na herufi ndogo.....
 
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.

Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.

Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.


ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...

Juliana Shonza,tangu lini Chagulani ni diwani wa Chadema?Chagulani kwa jinsi nijuavyo ni diwani wa mahakama.Juliana shonza ni chadema chenye laana kutoka kwa Mungu au ni wewe mwenye laana? Hata maandishi unayoandika yanaonyesha umelaaniwa toka kwa Mungu.Halafu wewe una tofauti gani na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu? Tofauti kati yenu ni moja tu,yaani Yuda alikuwa mwanamme malaya aliyemsaliti Yesu ili awafurahishe mabwana zake waliomtuma na wewe Juliana Shonza ni mwanamke malaya uliyeisaliti Chadema ili kuwafurahisha mabwana zako waliokutuma ccm.Jambo moja mnalofanana ni kwamba wote wawili mmelaaniwa.Mwenzako alijinyonga na wewe subiri zamu yako utakapotelekezwa.
 
samaki mkunje angali mbichi CDM mlishindwa kumkunja Shonza angali chamani ona leo alivyogeuka kiburudisho cha magamba
 
Back
Top Bottom