usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 329
Tarehe 30 Nilishangaa sana kuona madiwani wangu watatu wa chadema na katibu wetu wa Chadema wilaya wakiwa wameshona sare za mwenge na kukimbiza Mwenge wa Uhuru tangu kuupokea hadi Mwisho wa wilaya
Nisaidieni sie wakijijini,je sera yetu mpya imekubali kuunga Mkono na kushiriki Mbio za Mwenge wa UHURU? kwa sisi wanachadema?
Maana chama kama kimekufa hivi Rombo
Picha hii ni ya Diwani wa kata ya Makiidi na Mwenyekiti wa BAVICHA WILAYA YA ROMBO
akiufagilia kwa kuushika Mwenge wa Uhuru
Wadau sera mpya nazipata wapi naomba nitumiwe
Nisaidieni sie wakijijini,je sera yetu mpya imekubali kuunga Mkono na kushiriki Mbio za Mwenge wa UHURU? kwa sisi wanachadema?
Maana chama kama kimekufa hivi Rombo
Picha hii ni ya Diwani wa kata ya Makiidi na Mwenyekiti wa BAVICHA WILAYA YA ROMBO
akiufagilia kwa kuushika Mwenge wa Uhuru
Wadau sera mpya nazipata wapi naomba nitumiwe
