MADIRISHA ALUMINIUM

Muyagha

JF-Expert Member
Nov 29, 2014
234
201
Heshima kwenu wanaJF, nahitaji madirisha 7 ya aluminum, 4 ukubwa ni futi 5x5 na 3 ni futi 4x5 yafitishwe kwenye nyumba iliyopo Kibaha. Uwezo wangu ni sh. 175,000/- kwa dirisha kila kitu mpaka kufitisha. Kazi inahitajika iwe tayari kufikia tarehe 10/02/2017.
 
Heshima kwenu wanaJF, nahitaji madirisha 7 ya aluminum, 4 ukubwa ni futi 5x5 na 3 ni futi 4x5 yafitishwe kwenye nyumba iliyopo Kibaha. Uwezo wangu ni sh. 175,000/- kwa dirisha kila kitu mpaka kufitisha. Kazi inahitajika iwe tayari kufikia tarehe 10/02/2017.
Kama nimekuelewa, unamaanisha Shs. 175,000 ni vifaa, ufundi na kufitisha kwa kila dirisha la aluminium?
 
Kama nimekuelewa, unamaanisha Shs. 175,000 ni vifaa, ufundi na kufitisha kwa kila dirisha la aluminium?
nimemuelewa yani hyo ndo bajeti yake kwa kila window full kila kitu yaani ye nikuwacheki majirani na wapita njia .
 
Wakuu wote mmenielewa vizuri kabisa ila narekebisha tarehe kuwa 10/3/2017
 
Mafundi mbona kimya? Nina Tshs. 1,225,000/- ninahitaji madirisha 7 kwa vipimo tajwa hapo juu.
 
Standard price 5x5 ft ni 230,000-250,000. Vinginevyo utaharibiwa kazi.

Ushauri:Tumia hio hela kupata madirisha matano then mengine malizia baadae. Au muombe fundi akutengenezee yote saba balance utammalizia taratibu, hali ngumu atakubali tu.
 
Back
Top Bottom