Madini yenye thamani ya milioni 961 yakutwa yakitoroshwa

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568
Madini yenye uzito wa kilogramu 6.93 yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 yamekamatwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya yakitoroshwa kwenda kuuzwa nje ya Nchi.

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema hayo akiwa katika machimbo ya dhahabu Wilayani Chunya wakati wa ziara yake ya kikazi Mkoani Mbeya.

Mavunde amesema dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 na kama ingetoroshwa Serikali ingekosa mapato ya zaidi ya Tsh. milioni 68 yatokanayo na mrabaha, service levy na ada ya ukaguzi.

Akiongea na Wafanyabiashara wa Madini katika Soko la Madini Mbeya Mavunde amewataka wasijihusishe na njama zozote za utoroshaji madini kwani kufanya hivyo kunakosesha mapato ya Nchi na kudumaza juhudi za kuleta maendeleo “Mh Rais Dkt. Samia ameonesha dhamira ya dhati ya kuikuza Sekta hii hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunafanya biashara hii kwa uadilifu, uaminifu na uzalendo mkubwa”

“Wafanyabiashara wa madini nawatangazia tena kuacha kujihusisha na utotoshaji wa madini, tutachukua hatua kali kwa Watu wote wanaohusika bila kusita”
 
Madini yenye uzito wa kilogramu 6.93 yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 yamekamatwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya yakitoroshwa kwenda kuuzwa nje ya Nchi.

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema hayo akiwa katika machimbo ya dhahabu Wilayani Chunya wakati wa ziara yake ya kikazi Mkoani Mbeya.

Mavunde amesema dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 na kama ingetoroshwa Serikali ingekosa mapato ya zaidi ya Tsh. milioni 68 yatokanayo na mrabaha, service levy na ada ya ukaguzi.

Akiongea na Wafanyabiashara wa Madini katika Soko la Madini Mbeya Mavunde amewataka wasijihusishe na njama zozote za utoroshaji madini kwani kufanya hivyo kunakosesha mapato ya Nchi na kudumaza juhudi za kuleta maendeleo “Mh Rais Dkt. Samia ameonesha dhamira ya dhati ya kuikuza Sekta hii hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunafanya biashara hii kwa uadilifu, uaminifu na uzalendo mkubwa”

“Wafanyabiashara wa madini nawatangazia tena kuacha kujihusisha na utotoshaji wa madini, tutachukua hatua kali kwa Watu wote wanaohusika bila kusita”
Serikali nayo iache kufisidi uchumi wa nchi. Kama wao wanatumia pesa hiyo kununulia magari yenye thamani kubwa sana ya hdi tsh. 500,000,000 kwa gari moja na wanatoa kwa kila waziri, kila katibu na manaibu katibu wakuu, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa taasisi za serikali. Wanakuwa wakali wanapo ona mwananchi anatorosha madini yake kwenda kuuza nje ya nchi, lengoni ili wapate pesa kwa njia ya kodi halafu wazitumie kwa anasa! Nani anakubaliana na upuuzi huo.
Kama ni kukosa basi tukose wote!
Torosheni tu,tukose wote!
 
Madini yenye uzito wa kilogramu 6.93 yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 yamekamatwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya yakitoroshwa kwenda kuuzwa nje ya Nchi.

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema hayo akiwa katika machimbo ya dhahabu Wilayani Chunya wakati wa ziara yake ya kikazi Mkoani Mbeya.

Mavunde amesema dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 na kama ingetoroshwa Serikali ingekosa mapato ya zaidi ya Tsh. milioni 68 yatokanayo na mrabaha, service levy na ada ya ukaguzi.

Akiongea na Wafanyabiashara wa Madini katika Soko la Madini Mbeya Mavunde amewataka wasijihusishe na njama zozote za utoroshaji madini kwani kufanya hivyo kunakosesha mapato ya Nchi na kudumaza juhudi za kuleta maendeleo “Mh Rais Dkt. Samia ameonesha dhamira ya dhati ya kuikuza Sekta hii hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunafanya biashara hii kwa uadilifu, uaminifu na uzalendo mkubwa”

“Wafanyabiashara wa madini nawatangazia tena kuacha kujihusisha na utotoshaji wa madini, tutachukua hatua kali kwa Watu wote wanaohusika bila kusita”
Huyo Mavunde ni tapel mkuu atuambie za Geita zimefikia wapi na leo aje na trend Chuma
 
Inasikitisha sana,waziri badala ya kukaa kutengeneza sera bora na sheria ili kudhibiti utoroshaji wa madini yeye kageuka kuwa kk security kukamata wezi wa madini,aseme tu kama anataka mgao kuliko haya maigizo anayofanya.
 
Serikali nayo iache kufisidi uchumi wa nchi. Kama wao wanatumia pesa hiyo kununulia magari yenye thamani kubwa sana ya hdi tsh. 500,000,000 kwa gari moja na wanatoa kwa kila waziri, kila katibu na manaibu katibu wakuu, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa taasisi za serikali. Wanakuwa wakali wanapo ona mwananchi anatorosha madini yake kwenda kuuza nje ya nchi, lengoni ili wapate pesa kwa njia ya kodi halafu wazitumie kwa anasa! Nani anakubaliana na upuuzi huo.
Kama ni kukosa basi tukose wote!
Torosheni tu,tukose wote!
Mradi ushaambiwa ukitorosha na ukishikwa, ukubalianae na kinachokusubiri.

usijamukakosa yote.
 
Madini yenye uzito wa kilogramu 6.93 yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 yamekamatwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya yakitoroshwa kwenda kuuzwa nje ya Nchi.

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema hayo akiwa katika machimbo ya dhahabu Wilayani Chunya wakati wa ziara yake ya kikazi Mkoani Mbeya.

Mavunde amesema dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 961 na kama ingetoroshwa Serikali ingekosa mapato ya zaidi ya Tsh. milioni 68 yatokanayo na mrabaha, service levy na ada ya ukaguzi.

Akiongea na Wafanyabiashara wa Madini katika Soko la Madini Mbeya Mavunde amewataka wasijihusishe na njama zozote za utoroshaji madini kwani kufanya hivyo kunakosesha mapato ya Nchi na kudumaza juhudi za kuleta maendeleo “Mh Rais Dkt. Samia ameonesha dhamira ya dhati ya kuikuza Sekta hii hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunafanya biashara hii kwa uadilifu, uaminifu na uzalendo mkubwa”

“Wafanyabiashara wa madini nawatangazia tena kuacha kujihusisha na utotoshaji wa madini, tutachukua hatua kali kwa Watu wote wanaohusika bila kusita”
Hizi ni comedy wametuletea ili tuone wanafanya kazi
 
Back
Top Bottom