Kwenye biashara za aina hii huwa ni zakusadikika...nikuwa genge la watu fulani wanakaa mahali na kutengeneza DEMAND ya ishu fulani kama hilo jiko vile, ili hali wao ndiyo wenye hilo jiko! Hivyo basi, akijotokeza mwenye hela ambaye akaingia mkenge wa kuyatafuta haya majiko....hilo genge, litampa third party ili akampige huyo tajiri....na hata hicho kioo cha kupimia wanachosema hakiwi kioo cha kawaida, ni wauzaji tu wenye nacho ili kukusadikisha!
Nitoe mfano;- Kuna genge huwa linakuwa na hela (dollars) kwnye masanduku walizo zipaka aina fulani ya dawa hivi! Hizo dolla huchanganywa na vipande viiingi sana vya karatasi vilivyo katwa kama noti za dolla! Hivyo basi, kwenye sanduku moja lililojaa noti feki za karatasi nyeupe, unaweza kukuta kuna noti halali pisi tano hivi, nazo zimepakwa nini sijui na zimekuwa nyeupee kama karatasi!
Matapeli hawa hutengeneza vipeperushi kuonyesha kuwa hizo hela (kwenye sanduku) zilikuwa zitumwe na ubalozi wa USA kwenda Congo au mahali popote na zina thamani ya millions of dollars, ila wao wameziapata kwasababu bla bla bla....si unajua!? Pia wanayo dawa kidgo sana imebaki ili kusafisha baadhi tu ya pisi za dola....!
Hilo genge huanza kuzunguka ili kutengeneza DEMAND ya dawa ya kusafishia dola....na wakimpata tajiri humwambia kuwa hiyo dawa huuzwa milioni nyingi tu...pengine wanajuwa wapi dawa inapaitikana lakini hawana fedha....ili kumwaminisha tajiri, husafisha noti halali za dola na huenda naye wote kuzichenj to tshs.....hahaha kwa tamaa..tajiri huingia kingi....na anakubali kutoa mamilioni kadhaa na kuwapa hao matapeli....huku wakimwachia sanduku lililojaa makaratasi tupu kama dhamana! Kabaya hawa jamaa, hutokomea kwa muda fulani hivi....wakipatikana kwenye simu...humwambia tajiri walikamatwa mara tu walipopata ile dawa, hivyo atume au awape zingine japo kidgo ili walete dawa...matajiri wengi hutoa tena na tena kwani wanajikuta njia panda!
Ushauri wangu kwa wakuu woote wa jf ni hiviii......ukiona muhindi hafanyi biashara fulani na wewe usiifanye...kama muhindi hatafuti haya majiko...basi na wewe usiyatafute! Ushawahi kuona muhindi anauza mkaa?
Nitoe mfano;- Kuna genge huwa linakuwa na hela (dollars) kwnye masanduku walizo zipaka aina fulani ya dawa hivi! Hizo dolla huchanganywa na vipande viiingi sana vya karatasi vilivyo katwa kama noti za dolla! Hivyo basi, kwenye sanduku moja lililojaa noti feki za karatasi nyeupe, unaweza kukuta kuna noti halali pisi tano hivi, nazo zimepakwa nini sijui na zimekuwa nyeupee kama karatasi!
Matapeli hawa hutengeneza vipeperushi kuonyesha kuwa hizo hela (kwenye sanduku) zilikuwa zitumwe na ubalozi wa USA kwenda Congo au mahali popote na zina thamani ya millions of dollars, ila wao wameziapata kwasababu bla bla bla....si unajua!? Pia wanayo dawa kidgo sana imebaki ili kusafisha baadhi tu ya pisi za dola....!
Hilo genge huanza kuzunguka ili kutengeneza DEMAND ya dawa ya kusafishia dola....na wakimpata tajiri humwambia kuwa hiyo dawa huuzwa milioni nyingi tu...pengine wanajuwa wapi dawa inapaitikana lakini hawana fedha....ili kumwaminisha tajiri, husafisha noti halali za dola na huenda naye wote kuzichenj to tshs.....hahaha kwa tamaa..tajiri huingia kingi....na anakubali kutoa mamilioni kadhaa na kuwapa hao matapeli....huku wakimwachia sanduku lililojaa makaratasi tupu kama dhamana! Kabaya hawa jamaa, hutokomea kwa muda fulani hivi....wakipatikana kwenye simu...humwambia tajiri walikamatwa mara tu walipopata ile dawa, hivyo atume au awape zingine japo kidgo ili walete dawa...matajiri wengi hutoa tena na tena kwani wanajikuta njia panda!
Ushauri wangu kwa wakuu woote wa jf ni hiviii......ukiona muhindi hafanyi biashara fulani na wewe usiifanye...kama muhindi hatafuti haya majiko...basi na wewe usiyatafute! Ushawahi kuona muhindi anauza mkaa?