sara-22
Member
- Apr 6, 2013
- 99
- 14
- Thread starter
- #41
mkuu hivi vitu ni treasure waliachaga wajerumani kipindi cha ukoloni. wajerumani kwa uchawi ni hatari ,kuna watu waliuwawa kama kulinda hizo treasure na walifanya mauchawi yao ya kijerumani.ndani ya hizo treasure kuna dhahabu,macheni,pete,taa ya chemli,pasi,rupia,n.k.hizo treasure ziko nyingi sana hapa tanzania,karibia watu wote waliojaribu kuchukua walikufa.ukikaribia hizo treasure unakutana na mauzauza ya ajabu hautasahau kamwe,kuna nyoka wa dhahabu wakubwa na wahatari wanalinda hizo mali,simba, chui,kwa kifupi ni mauzauza kwani kuna wengine walikutana na nyoka anaongea,tembo ana kichwa cha simba...........wajukuu wa wakoloni ndio wanakujua kuyachukua kwa sababu wanajua maneno yaliyotamkwa na madawa yao.nasikia ukiwa na hiyo pasi au chemli unamabillioni.ukweli kabisa wengi wamekufa kisa hizo mali.
Nashkuru mungu kuwa watu eashaanza kujua kuwa hii vitu ni treasure!!!!!