Madhumuni ya waraka wa Kinana na Makamba yalikuwa ni nini?

Ng'wamapalala

JF-Expert Member
Jun 9, 2011
6,808
6,500
Hili swali nimekuwa nikijiuliza lakini nashindwa kupata jibu/majibu sahihi hasa nikichukulia kuwa walioandika waraka ni Nape Nnauye na January Makamba.

Hii inatokana na kwamba wameandika waraka mrefu halafu wakapata woga hata kutaja jina la mtu anayemtuma au kumkingia kifua anayejiita 'mwanaharakati' Cyprian Musiba. Hii inaonyesha kuwa wanamuogopa huyo mtu au taasisi wanayedai yuko nyuma ya Musiba.

Ukiangalia utagundua kuwa waraka wa Kinana na Makamba umempa umashuhuri'mwanaharakati' Cyprian Musiba kwa sababu hata watu ambao walikuwa wanampuuza kwa sasa inabidi wasikilize anachokisema hata kama ni ‘’pumba’’. Mimi bado ninaamini mengi anayoyasema huwa ni ‘’pumba’’. Machache ndio husema kweli kwa sababu hata saa mbovu kuna muda husema kweli!

Musiba ambaye tulikuwa tunaambiwa TUMPUUZE kwa sasa anaandikiwa waraka na Makatibu wa CCM Wastaafu huku akipewa nguvu ambazo kimantiki hakuwa nazo! Kimantiki, Waraka unatuambia tusimpuuze Musiba!

Musiba wa kabla ya waraka sio huyu Musiba wa sasa ambapo wa sasa akiitisha mkutano na waandishi wa habari, meza inajaa vyombo vya kunasia sauti. Mfano ni juzi alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari.
jNA_DwXDPQM-750x375.jpg



Waraka umesababisha tujue sababu halisi za waraka kupitia audio ya sauti za Nape na Kinana zilizodukuliwa walipokuwa wanasema Rais Magufuli amewasahau baada ya kupata Urais pamoja na kwamba walimsaidia kufika hapo alipofika.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufukuzwa Uwaziri na kuna uwezekano hata ubunge akaukosa.

Waraka umesababisha Mzee Mwinyi kusema walichokifanya Makatibu wastaafu ni kitendo cha UTOTO.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufuta haraka ujumbe wake wa kumshukuru Rais Magufuli ukionyesha picha akicheka na Mzee Mwinyi baada ya kufukuzwa Uwaziri.

Waraka umesababisha Makamba Jr kupotea kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter ambako alikuwa hapitishi siku moja bila kuweka twit au kujibu twit.

Mpaka sasa ninashindwa kuelewa Malengo ya waraka yalikuwa ni nini kwa sababu kwa maoni yangu waandishi na watoa waraka umewapa matokeo hasi!
 
Ulikuwa utoto. Wazee(makatibu wastaafu) walishauriwa vibaya na wanasiasa vijana. Anayelalamikwa kwenye waraka , ndo wamempaisha. Cyprian Musiba amekuwa maarufu. Wastaafu watulie,wale mema ya nchi. Wakiwashwa washwa watakunwa kwa jiwe la moto
 
Ulikuwa utoto. Wazee(makatibu wastaafu) walishauriwa vibaya na wanasiasa vijana. Anayelalamikwa kwenye waraka , ndo wamempaisha. Cyprian Musiba amekuwa maarufu. Wastaafu watulie,wale mema ya nchi. Wakiwashwa washwa watakunwa kwa jiwe la moto
Kwa kweli kila nikijiuliza ninashindwa kupata jibu sahihi!
 
Hili swali nimekuwa nikijiuliza lakini nashindwa kupata jibu/majibu sahihi hasa nikichukulia kuwa walioandika waraka ni Nape Nnauye na January Makamba.

Hii inatokana na kwamba wameandika waraka mrefu halafu wakapata woga hata kutaja jina la mtu anayemtuma au kumkingia kifua anayejiita 'mwanaharakati' Cyprian Musiba. Hii inaonyesha kuwa wanamuogopa huyo mtu au taasisi wanayedai yuko nyuma ya Musiba.

Ukiangalia utagundua kuwa waraka wa Kinana na Makamba umempa umashuhuri'mwanaharakati' Cyprian Musiba kwa sababu hata watu ambao walikuwa wanampuuza kwa sasa inabidi wasikilize anachokisema hata kama ni ‘’pumba’’. Mimi bado ninaamini mengi anayoyasema huwa ni ‘’pumba’’. Machache ndio husema kweli kwa sababu hata saa mbovu kuna muda husema kweli!

Musiba ambaye tulikuwa tunaambiwa TUMPUUZE kwa sasa anaandikiwa waraka na Makatibu wa CCM Wastaafu huku akipewa nguvu ambazo kimantiki hakuwa nazo! Kimantiki, Waraka unatuambia tusimpuuze Musiba!

Musiba wa kabla ya waraka sio huyu Musiba wa sasa ambapo wa sasa akiitisha mkutano na waandishi wa habari, meza inajaa vyombo vya kunasia sauti. Mfano ni juzi alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari.
jNA_DwXDPQM-750x375.jpg



Waraka umesababisha tujue sababu halisi za waraka kupitia audio ya sauti za Nape na Kinana zilizodukuliwa walipokuwa wanasema Rais Magufuli amewasahau baada ya kupata Urais pamoja na kwamba walimsaidia kufika hapo alipofika.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufukuzwa Uwaziri na kuna uwezekano hata ubunge akaukosa.

Waraka umesababisha Mzee Mwinyi kusema walichokifanya Makatibu wastaafu ni kitendo cha UTOTO.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufuta haraka ujumbe wake wa kumshukuru Rais Magufuli ukionyesha picha akicheka na Mzee Mwinyi baada ya kufukuzwa Uwaziri.

Waraka umesababisha Makamba Jr kupotea kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter ambako alikuwa hapitishi siku moja bila kuweka twit au kujibu twit.

Mpaka sasa ninashindwa kuelewa Malengo ya waraka yalikuwa ni nini kwa sababu kwa maoni yangu waandishi na watoa waraka umewapa matokeo hasi!
Naamini kuna watu hawana ujasiri wa kuzungumza hivyo wanamtumia kama spika tu.
Hana lolote huyo unayemuona shujaa wako
 
Naamini kuna watu hawana ujasiri wa kuzungumza hivyo wanamtumia kama spika tu.
Hana lolote huyo unayemuona shujaa wako
Mkuu;
Ulichokiandika kina mantiki ile ile ya mada yangu pamoja na kwamba unadhani mtazamo wako ni tofauti na mada yangu.

Ni kweli Musiba hana lolote ndio maana nikauliza Waraka wa Kinana na Makamba ulikuwa na malengo gani?
 
Lengo la waraka ilikuwa ni kuanzisha vuguvugu ambalo litamkosesha amani Magu 2020, kutolewa kwa zile audio clips kumuondoa uhalali wa waraka, kwa sasa hakuna mwana CCM anayetamani hata kumpigia simu Nape au Membe, wamekuwa kama kinyesi sasa kila mtu anawaogopa na kukaa nao mbali.
 
Hili swali nimekuwa nikijiuliza lakini nashindwa kupata jibu/majibu sahihi hasa nikichukulia kuwa walioandika waraka ni Nape Nnauye na January Makamba.

Hii inatokana na kwamba wameandika waraka mrefu halafu wakapata woga hata kutaja jina la mtu anayemtuma au kumkingia kifua anayejiita 'mwanaharakati' Cyprian Musiba. Hii inaonyesha kuwa wanamuogopa huyo mtu au taasisi wanayedai yuko nyuma ya Musiba.

Ukiangalia utagundua kuwa waraka wa Kinana na Makamba umempa umashuhuri'mwanaharakati' Cyprian Musiba kwa sababu hata watu ambao walikuwa wanampuuza kwa sasa inabidi wasikilize anachokisema hata kama ni ‘’pumba’’. Mimi bado ninaamini mengi anayoyasema huwa ni ‘’pumba’’. Machache ndio husema kweli kwa sababu hata saa mbovu kuna muda husema kweli!

Musiba ambaye tulikuwa tunaambiwa TUMPUUZE kwa sasa anaandikiwa waraka na Makatibu wa CCM Wastaafu huku akipewa nguvu ambazo kimantiki hakuwa nazo! Kimantiki, Waraka unatuambia tusimpuuze Musiba!

Musiba wa kabla ya waraka sio huyu Musiba wa sasa ambapo wa sasa akiitisha mkutano na waandishi wa habari, meza inajaa vyombo vya kunasia sauti. Mfano ni juzi alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari.
jNA_DwXDPQM-750x375.jpg



Waraka umesababisha tujue sababu halisi za waraka kupitia audio ya sauti za Nape na Kinana zilizodukuliwa walipokuwa wanasema Rais Magufuli amewasahau baada ya kupata Urais pamoja na kwamba walimsaidia kufika hapo alipofika.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufukuzwa Uwaziri na kuna uwezekano hata ubunge akaukosa.

Waraka umesababisha Mzee Mwinyi kusema walichokifanya Makatibu wastaafu ni kitendo cha UTOTO.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufuta haraka ujumbe wake wa kumshukuru Rais Magufuli ukionyesha picha akicheka na Mzee Mwinyi baada ya kufukuzwa Uwaziri.

Waraka umesababisha Makamba Jr kupotea kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter ambako alikuwa hapitishi siku moja bila kuweka twit au kujibu twit.

Mpaka sasa ninashindwa kuelewa Malengo ya waraka yalikuwa ni nini kwa sababu kwa maoni yangu waandishi na watoa waraka umewapa matokeo hasi!
Tatizo wanasiasa wakitanzania walizoea porojo sana. Sasa wamekutana na magu wameanza kutapatapa eti wamesahaulika bila kujua zama zao zimepita. Ila nadhani hadi 2020 watakua washaelewa mziki wa jpm
 
Hujui malengo ya waraka yalikuwa yafuatayo 1.kuonyesha jinsi wanaccm wasivyoridhishwa na utendaji wa Magufuri 2.Kuonyesha kuwa ccm kuna kundi halikubaliana na mwenyekiti .3 .Kuujulisha umma ,kwamba anayoyatenda Magufuri sio kwamba ccm wote wanakubaliana naye .4 Kuonyesha kuwa waliomwingiza Magufuri madarakani hawajaridhika na alivyowatendea ukilinganisha na ugumu wa kazi walioifanya.5.Kuonyesha kuwa Magufuri hana sapoti ndani ya chama zaidi ya wachumia tumbo ,bashiru ,polepole ,musukuma ,lusinde nk ,ambao hawana ushawishi wowote ule ndani ya chama .6 Waraka unamaanisha miaka minne toka Magufuri awe mwenyekiti na rais ameshindwa kuwashawishi wanaccm wamkubali kumbuka yeye aliingia bila kundi lolote .N.B.Watu walionyuma na huo waraka ni wengi sana na wengine huwezi kuamini ,ila kwa kuwa wanapambana na mtu mwenye dola hawawezi kujionyesha moja kwa moja .
 
Lengo la waraka ilikuwa ni kuanzisha vuguvugu ambalo litamkosesha amani Magu 2020, kutolewa kwa zile audio clips kumuondoa uhalali wa waraka, kwa sasa hakuna mwana CCM anayetamani hata kumpigia simu Nape au Membe, wamekuwa kama kinyesi sasa kila mtu anawaogopa na kukaa nao mbali.
Mkuu;
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja yako.

Naona wamepoteza zaidi badala ya kupata zaidi.
 
Aliyelianzisha ni Musiba... waraka ndiyo ukafuata...

Kwa maana hiyo waraka ulikua ni wa kutahadharisha mpasuko utakaotekea ndani ya chama tawala...

Subiri uone... surprises are yet to come...



Cc: mahondaw
 
Kwa faida yako na wengine wa aina yako ni kwamba waraka ule uliandikwa na Makamba na Kinana , siyo Nape na January , Lengo lake lilikuwa ni kumzuia Magufuli kuwafungulia kesi ya uhaini wajumbe wa kamati kuu ya ccm ili wasimzuie kugombea urais mwaka 2020 kama walivyodhamiria.

Kumbuka kwamba jina la mgombea urais linatoka kamati kuu , lakini unapaswa kujua kwamba mgombea urais hatakiwi kuwemo kwenye kikao hicho hata kama yeye ni mwenyekiti wa chama , hapa ndipo Jiwe litakapokatwa na labda kwa kukung'ata sikio tayari visu viko mikononi mwa wakataji .

Je Musiba ni mjumbe wa Kamati kuu ?
 
Taifa la wapumbavu ambao hupenda kujitoa ufahamu hata kwa jambo lililo wazi kabisa.

Kama huoni malengo yake, angalau baadhi ya matokeo umeyaona. Usijifanye kipofu. Tayari umeishaona mkanganyiko ndani ya chama. Endelea kusubiri matokeo
 
Waraka ulilenga kumuweka breki Jiwe dhidi ya hatua zake alizokuwa akifanya moja baada ya nyingine kuelekea mpango wake wa kutawala kidikteta zaidi!

Kuhusu wao kuchafuliwa hilo walilitegemea ila walijitoa kama sadaka kwa nchi ili nchi ipone, wao hawana cha kupoteza, hawaombi tena ajira serikalini na wala hawahitaji teuzi
 
Kama huoni malengo yake, angalau baadhi ya matokeo umeyaona. Usijifanye kipofu. Tayari umeishaona mkanganyiko ndani ya chama. Endelea kusubiri matokeo

Matokeo na malengo ni vitu viwili tofauti.

Ni kweli matokeo tumeyaona lakini swali linabaki. Je, malengo ya waraka ilikuwa ni nini?
 
Tatizo wanasiasa wakitanzania walizoea porojo sana. Sasa wamekutana na magu wameanza kutapatapa eti wamesahaulika bila kujua zama zao zimepita. Ila nadhani hadi 2020 watakua washaelewa mziki wa jpm
Mkuu;
Mimi kinachonishangaza zaidi ni kuhusu malengo yao. Mpaka sasa sijapata jibu sahihi kuhusu malengo ya waraka.
 
Hili swali nimekuwa nikijiuliza lakini nashindwa kupata jibu/majibu sahihi hasa nikichukulia kuwa walioandika waraka ni Nape Nnauye na January Makamba.

Hii inatokana na kwamba wameandika waraka mrefu halafu wakapata woga hata kutaja jina la mtu anayemtuma au kumkingia kifua anayejiita 'mwanaharakati' Cyprian Musiba. Hii inaonyesha kuwa wanamuogopa huyo mtu au taasisi wanayedai yuko nyuma ya Musiba.

Ukiangalia utagundua kuwa waraka wa Kinana na Makamba umempa umashuhuri'mwanaharakati' Cyprian Musiba kwa sababu hata watu ambao walikuwa wanampuuza kwa sasa inabidi wasikilize anachokisema hata kama ni ‘’pumba’’. Mimi bado ninaamini mengi anayoyasema huwa ni ‘’pumba’’. Machache ndio husema kweli kwa sababu hata saa mbovu kuna muda husema kweli!

Musiba ambaye tulikuwa tunaambiwa TUMPUUZE kwa sasa anaandikiwa waraka na Makatibu wa CCM Wastaafu huku akipewa nguvu ambazo kimantiki hakuwa nazo! Kimantiki, Waraka unatuambia tusimpuuze Musiba!

Musiba wa kabla ya waraka sio huyu Musiba wa sasa ambapo wa sasa akiitisha mkutano na waandishi wa habari, meza inajaa vyombo vya kunasia sauti. Mfano ni juzi alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari.
jNA_DwXDPQM-750x375.jpg



Waraka umesababisha tujue sababu halisi za waraka kupitia audio ya sauti za Nape na Kinana zilizodukuliwa walipokuwa wanasema Rais Magufuli amewasahau baada ya kupata Urais pamoja na kwamba walimsaidia kufika hapo alipofika.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufukuzwa Uwaziri na kuna uwezekano hata ubunge akaukosa.

Waraka umesababisha Mzee Mwinyi kusema walichokifanya Makatibu wastaafu ni kitendo cha UTOTO.

Waraka umesababisha Makamba Jr kufuta haraka ujumbe wake wa kumshukuru Rais Magufuli ukionyesha picha akicheka na Mzee Mwinyi baada ya kufukuzwa Uwaziri.

Waraka umesababisha Makamba Jr kupotea kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter ambako alikuwa hapitishi siku moja bila kuweka twit au kujibu twit.

Mpaka sasa ninashindwa kuelewa Malengo ya waraka yalikuwa ni nini kwa sababu kwa maoni yangu waandishi na watoa waraka umewapa matokeo hasi!
We are building the nation
 
Ulikuwa utoto. Wazee(makatibu wastaafu) walishauriwa vibaya na wanasiasa vijana. Anayelalamikwa kwenye waraka , ndo wamempaisha. Cyprian Musiba amekuwa maarufu. Wastaafu watulie,wale mema ya nchi. Wakiwashwa washwa watakunwa kwa jiwe la moto
We are building the nation
 
Back
Top Bottom