Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,263
- 7,400
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!
Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!
Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!
Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!
Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!
Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!
Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!
Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!
Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!
Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!
Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!
Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.