Mai Nego Member Jul 2, 2017 6 8 Sep 8, 2018 #1 Hiyo sentensi mtu anaweza ielewaje kwenye lugha ya Kiswahili?
financial services JF-Expert Member May 17, 2017 17,132 40,695 Sep 8, 2018 #2 Anza kwanza na ulichokielewa wewe kwenye hiyo sentensi, at least tutapata starting point. Maana hujaeleweka ,Uzi hauna nyama nyama
Anza kwanza na ulichokielewa wewe kwenye hiyo sentensi, at least tutapata starting point. Maana hujaeleweka ,Uzi hauna nyama nyama