Dawa ya kupunguza tumble ni mazoezi tuHabari ya mda huu ndugu zangu nilikuwa naomba kujuzwa kuwa kuna madhara gani ya kufunga mikanda ile ya kupunguza tumbo kwa wadada
Mikanda yenye ndo kama huo kwenye hiyo picha
Mkuu senzoside nakushauri zaidi upunguze hizo nyama (ikiwa ni wewe) au umshauri (anayetaka kupunguza) kwa njia ya MAZOEZI TU,hiyo mikanda huwa inazuia flow nzuri ya damu za kutoka kwny miguu na hips na hata Spinal cord kwenda sehemu ya juu ya mwili mpk kwny ubongo. Pia inabana utumbo siku baada ya siku japo mtumiaji hawezi gundua kiurahisi.
Duh umekuwaje mzuri ...ndio ww apo au?
Nunua iyo kitu haina madhana wanakuzingua hao! Just train ur waist .o ni waist training sio dawa , hao wasiojua maana usiwaambie maana!
Eti madhara kwani mazoezi hayapunguzi mwili !? Nayo kwa iyo yanaleta madhara?
Kwa mfano nikiwa nimefunga alafu naendelea na mazoezi kama kawaida inakuwaje? ... Kwasababu mazoezi pekee tumbo halipungui kabisa
Mazoezi ya tumbo + kunywa maji ya vuguvugu yenye limao asbh kbl ya chai yanapunguza mafuta ya tumbo pamoja na uzito kwa haraka sana tu...labda wewe unafanya mazoezi kivivu au mara chache then unakula vyakula vya mafuta sana.
Okey asante sana
Exactly na hiki ndo cha kuzingatia na KuepukaMazoezi ya tumbo + kunywa maji ya vuguvugu yenye limao asbh kbl ya chai yanapunguza mafuta ya tumbo pamoja na uzito kwa haraka sana tu...labda wewe unafanya mazoezi kivivu au mara chache then unakula vyakula vya mafuta sana.