Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,736
- 6,155
kwann mwenye tatoo haruhusiwi kuchangia damu hata kama atapimwa na ataonekana hana ugonjwa wowote
Kuna magonjwa inachukua hata mwaka hadi kuanza kuonekana. Tattoo si kitu kizuri, vifaa wanavyotumia sehemu nyingi havioshwi vizuri watu wanaishia kuambukizana magonjwa tu, kumbuka machine ya kuchora tattoo imegusa damu ya kila mtu aliyeitumia.