Madhara ya kutumia sukari nyingi

Madhara ya kutumia sukari nyingi

Josemyinga

Member
Joined
May 10, 2023
Posts
12
Reaction score
20
⚠️Madhara ya kutumia sukari nyingi?

Sukari ni chanzo cha nishati mwilini lakini ikizidi huanza kuleta madhara badala ya faida

Sukari hupatikana kwenye juice za viwandani, Biskuti, keki,pipi, vyakula vilivyosindikwa,chai au kahawa yenye sukari nyingi



⚠️Madhara ya kutumia sukari nyingi ni yapi?

📌Huongeza hatari ya kupata kisukari (diabetes)— huongeza glucose kwenye damu , Huchosha homoni ya insulini, mwisho huongeza hatari ya kisukari aina ya pili

📌Huongeza uzito kupita kiasi—sukari nyingi hubadilika kuwa mafuta na kuongeza unene (obesity) ambao huja na matatizo mengine

📌Huathiri afya ya moyo—huongeza cholesterol mbaya (LDL) ambayo huongeza shinikizo la damu

📌Hudhoofisha kinga ya mwili— sukari nyingi hupunguza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa

📌Huharibu meno—husababisha meno kuoza na kuongeza bakteria mdomoni



⁉️Dalili za matumizi ya sukari kupita kiasi ni pamoja na kuchoka haraka , kiu ya mara kwa mara, kuongezeka uzito na kukosa nguvu mara kwa mara



✅Namna ya kupunguza matumizi ya sukari— kupunguza soda na juice za kopo, matunda badala ya pipi na keki, soma lebo za vyakula kama kutakuwa na hidden sugar, kunywa maji ya kutosha



Lakini pia unashauriwa kutumia zaidi Asali na tende kwa kiasi Kwa afya ya mwili

Sukari si mbaya-lakini ikizidi inakua hatari

Kula kwa kiasi ni afya

Afya bora huanza na maamuzi madogo ya kila siku



Linda afya ya akili yako kwa ustawi wako

Kwa ushauri na matibabu

Piga/whatsApp

0672784344

0610768180
 
Anza kutafuta mbadala wa sukari taratibu alafu utazoea badae
 
⚠️Madhara ya kutumia sukari nyingi?

Sukari ni chanzo cha nishati mwilini lakini ikizidi huanza kuleta madhara badala ya faida

Sukari hupatikana kwenye juice za viwandani, Biskuti, keki,pipi, vyakula vilivyosindikwa,chai au kahawa yenye sukari nyingi



⚠️Madhara ya kutumia sukari nyingi ni yapi?

📌Huongeza hatari ya kupata kisukari (diabetes)— huongeza glucose kwenye damu , Huchosha homoni ya insulini, mwisho huongeza hatari ya kisukari aina ya pili

📌Huongeza uzito kupita kiasi—sukari nyingi hubadilika kuwa mafuta na kuongeza unene (obesity) ambao huja na matatizo mengine

📌Huathiri afya ya moyo—huongeza cholesterol mbaya (LDL) ambayo huongeza shinikizo la damu

📌Hudhoofisha kinga ya mwili— sukari nyingi hupunguza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa

📌Huharibu meno—husababisha meno kuoza na kuongeza bakteria mdomoni



⁉️Dalili za matumizi ya sukari kupita kiasi ni pamoja na kuchoka haraka , kiu ya mara kwa mara, kuongezeka uzito na kukosa nguvu mara kwa mara



✅Namna ya kupunguza matumizi ya sukari— kupunguza soda na juice za kopo, matunda badala ya pipi na keki, soma lebo za vyakula kama kutakuwa na hidden sugar, kunywa maji ya kutosha



Lakini pia unashauriwa kutumia zaidi Asali na tende kwa kiasi Kwa afya ya mwili

Sukari si mbaya-lakini ikizidi inakua hatari

Kula kwa kiasi ni afya

Afya bora huanza na maamuzi madogo ya kila siku



Linda afya ya akili yako kwa ustawi wako

Kwa ushauri na matibabu

Piga/whatsApp

0672784344

0610768180
Asante kwa somo zuri.
 
Haya masomo ya kuacha vyakula fulani hivi wale wananchi wa dongobesh au manzese kwa mfuga vyura yanawafaa kweli?.

Umwambie badala ya sukari tumia asali kama hivi, sukari 1kg shs 3kl na wanatumia siku mbili au tatu na asali ½ltr shs 5kl itatumika siku moja.

Haya nini mbadala wake ili kusave uchumi na afya?
 
Kwa hiyo watu waache kutumia sukari lakini watumie asali? Sukari ina ingredients zipi na asali inaundwa na ingredients zipi? Je mwili unatambua kilichoingia ni sukari au ni asali? Wataalamu wa sayansi ya lishe na mfumo wa chakula katika mwili wa binadamu tusaidieni kuelewa.
 
Hiii
 

Attachments

  • VID-20260128-WA0134.mp4
    1.5 MB
☝️ HAYA NDIO MAZOEZI YA KEGEL KWA WANAUME
✅ Yatakupa stamina na pumzi
✅ Yatakufanya uume kuwa ngangari
✅ Yatafanya damu ifike kwa wingi kwenye uume
✅ Yatakuweka FIT muda wote

🕕 Fanya asubuhi na jioni (au mara moja kwa siku)
🕞 Fanya mara 3 | 4 kwa kila seti
🕚 Kila seti ina raundi 20 hadi 30

❌ HAYAREFUSHI UUME
❌ HAYANENEPESHI UUME

⚠️ HAYANA MUDA MAALUMU — fanya hadi uzeeke 😂
(kama hiyo ni ngumu basi acha)

📌 Kila zoezi unahesabu kuanzia 10 hadi 30, kulingana na pumzi yako
📌 Kila zoezi unarudia mara 3 au 4 hadi 5, kulingana na pumzi yako pia
👆 Fanya kama anavyohesabu hapo juu mtaalamu
⚠️ Mazoezi haya ni kwa ajili ya kukupa pumzi tu ukiwa kitandani
⚠️ Hayarefushi uume
✅ Unachokiona mtaalamu anakifanya hapo, ndicho utakachofanya kitandani 😀
✅ Tunaita MAANDALIZI KABLA YA MCHEZO
📌 HAYA NI MAZOEZI YA KEGEL KWA BEGINNER YOYOTE YULE
⚠️ Hakikisha una video MOJA au MBILI TU kwenye simu yako
⚠️ FANYIA KAZI ZOEZI HILI PEKEE — litakusaidia ku-focus aina moja ya mazoezi,
badala ya kuwa na video nyingi na kupoteza umakini.
 
Back
Top Bottom