Madhara ya kusajili meli za wairan yaanza kuonekana(some bank block money transfer to Tanzania).....

Hii issue ya Iran si imfanywa na ami yetu katika nchi ya unguja? sasa tanganyika n pemba wanhusikaje?

Mwishowe utaishia na Jamhuri ya Mjini Maghribi weye, mbona Vatican ni nchi na ina eka si eka.
 
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo
uongowa kutupwa labda jina lako lipo kwenye mtandao wa alqaida
wacha stori za kupika
 
Yapo wazi wakati mtu hataki hata kusema yuko nchi gani na anatumia bank gani?

mbona hayo hayana uzito sana kihivyo.Bank ya gani ya nini?Nadhani cha muhimu ni kwamba mambo hayo yapo.Hii ni kama kuweka simple statement "lete reference" au "lete picture".Swali lako lilipaswa ulizwa na ofisa wa US anapojitetea kuwa hiyo hali haipo,ila si wewe?
 
mbona hayo hayana uzito sana kihivyo.Bank ya gani ya nini?Nadhani cha muhimu ni kwamba mambo hayo yapo.Hii ni kama kuweka simple statement "lete reference" au "lete picture".Swali lako lilipaswa ulizwa na ofisa wa US anapojitetea kuwa hiyo hali haipo,ila si wewe?

Unajuaje kama mimi si ofisa wa US anayetetea kwamba kitu hicho hakipo?

Kama hujui bank/ financial institution gani na nchi gani utaanzaje uchunguzi wa kuelewa kwamba huyu mwenzetu kakataliwa kwa sababu ki Credit Union chake kimefilisika au kwa sababu Tanzania imewekewa vikwazo?

Na kama kweli Tanzania imewekewa ban mbona sie wengine tunaweza kutuma hela?
 
Unajuaje kama mimi si ofisa wa US anayetetea kwamba kitu hicho hakipo?

Kama hujui bank/ financial institution gani na nchi gani utaanzaje uchunguzi wa kuelewa kwamba huyu mwenzetu kakataliwa kwa sababu ki Credit Union chake kimefilisika au kwa sababu Tanzania imewekewa vikwazo?

Na kama kweli Tanzania imewekewa ban mbona sie wengine tunaweza kutuma hela?

Afisa wa USA hawezi uliza kizembe hivyo.Angekuwa ame PM mhusika.We ni walewale wanavuruga threads tuu.Kwani tatizo lako nini hadi mshambulie hivyo?Au na wewe ni wapuuzi wanaolinda utawala?Utaumbuliwa na mwingine ktk kundi unalodhnai linakufaa.CCM wamepiga propaganda weee,sasa leo UVCCM wamepiga mwandishi kwa mikono yao wenywe,kabla hata akina nape hawajamaliza kusema CDM ina vurugu.

Halafu jina lako(id) kwa lugha yetu ni kimeo,deal nuksi.
 
Afisa wa USA hawezi uliza kizembe hivyo.

Kwani Afisa wa US ana kitu gani cha ajabu sana? Au unaona "Afisa wa US" mungu mtu? Mbona tunao humu?

Angekuwa ame PM mhusika.

Ni PM kwa kisa gani wakati "we dare speak openly" hapa? Kwani tunatongozana? Anikeni habari kila mtu ajue kama claim ina merit au ni nyie na vi card vyenu uchwara mmewekewa ban kutokana na bankruptcy ama kuna kingine.

We ni walewale wanavuruga threads tuu.

Anayevuruga thread ni huyo anayeanzisha rumor, akiulizwa maswali anashindwa kujibu.

Kwani tatizo lako nini hadi mshambulie hivyo?

Trust me, sijaanza shambulio bado, na hutapenda nikianza.

Au na wewe ni wapuuzi wanaolinda utawala?

Kuuliza details ili ujue ukweli wa jambo ni kulinda utawala kivipi? Kumbe that's what this is all about? Propaganda?

Mnawapa jina baya wale wanaopinga utawala kikweli kwa vi-smear campaign visivyo spine hapa.

Watu tumeona documents za Deep Grren na EPA hapa, tukawasema watawala fairly and squarely, kwa sababu kulikuwa na merit katika claims.

Sasa wewe leo mtu kaenda na ki credit card chake kimebuma unataka tulaumu watawala? Una akili kweli wewe?

Utaumbuliwa na mwingine ktk kundi unalodhnai linakufaa.CCM wamepiga propaganda weee,sasa leo UVCCM wamepiga mwandishi kwa mikono yao wenywe,kabla hata akina nape hawajamaliza kusema CDM ina vurugu.

What has CCM got to do with me?

CCM wanafaa kulaumiwa kwa kukukosesha elimu ya kujua lipi linajadiliwa na kutetewa vipi kiasi kwamba unawapaka matope hao wapinga CCM wa kweli.

Sio kwa sababu umekwenda kutuma hela na ki card chako mbuzi kisichotambuliwa ukapigwa chini.
 
Kwani Afisa wa US ana kitu gani cha ajabu sana? Au unaona "Afisa wa US" mungu mtu? Mbona tunao humu?



Ni PM kwa kisa gani wakati "we dare speak openly" hapa? Kwani tunatongozana? Anikeni habari kila mtu ajue kama claim ina merit au ni nyie na vi card vyenu uchwara mmewekewa ban kutokana na bankruptcy ama kuna kingine.
Wamefunzwa zaidi kuhusu nafasi zao.Kwani wakiwepo ndio wewe?Utang`aka sana hakuna afisa mwenye akili atapenda "abuse hiyo freedom of speech kihivyo",hakuna claim iliyowataka wachukue hatuaa au kutolea kauli, hapa tunaongelea kitu kinachohitaji establish ukweli kwa upande wa US kabla ya kutolea kauli.

Hiyo ban aliyowekewa ni ipi unayoijua au uliyosoma katk maelezo yake?Mbona alifanikiwa tuma kupitia njia nyingine?Mto amada yupo very simple na kawa direct wewe tuu ndio umeanza shobokea.kwani hata km ni hizo credit card uziitazo uchwara kwanini usingeenda direct zaidi ya kuanza mbwatukia?By the way US and UE kampuni ikifikia kufilisika huwa mara moja wanwahi tangaza mufilisi au wanatangazwa.
Anayevuruga thread ni huyo anayeanzisha rumor, akiulizwa maswali anashindwa kujibu.
Wewe acha uzushi umejuaje ni rumor?yeye kaelezea kitu kilichomkuta sasa wewe unakiita rumor,ulipita nae hizo njia?
Trust me, sijaanza shambulio bado, na hutapenda nikianza.
Sihitaji trust you ni an obvious thing like this.Mpaka hapa tuu sijapenda.Nisipende mara ya ngapi?
Kuuliza details ili ujue ukweli wa jambo ni kulinda utawala kivipi? Kumbe that's what this is all about? Propaganda?

Mnawapa jina baya wale wanaopinga utawala kikweli kwa vi-smear campaign visivyo spine hapa.

Watu tumeona documents za Deep Grren na EPA hapa, tukawasema watawala fairly and squarely, kwa sababu kulikuwa na merit katika claims.

Sasa wewe leo mtu kaenda na ki credit card chake kimebuma unataka tulaumu watawala? Una akili kweli wewe?
tatizo ni kwmaba unauliza maswali ya kijinga kama ya receiptionist wanaopoteza uliza mtu kila detailsa hata zile wasizopaswa na wasizoweza hadi mhusika anatoka na kumuuliza mgeni na wewe unafanya nini hapa?Ndipo akijieleza anaambiwa kuwa alipaswa aingie muda mrefu.

Inaelekea ungekuw amlinzi ungekuwakimeo sana.Hizi ni clue tuu na majibu aliyopewa ndio hayo ingawa pia hawakumpa maelezo sana pengine haijawa official na hivyo wengine wakaamu endelea hadi wapewe barua.Kuna sheria ni automatic, once inatangazwa kuwa Tanzania wameshiriki nchi zilizofungiwa na US kuna sheria zinaweka wazi automatically makampuni wa US yanapaswa zingatia.
What has CCM got to do with me?

CCM wanafaa kulaumiwa kwa kukukosesha elimu ya kujua lipi linajadiliwa na kutetewa vipi.

Sio kwa sababu umekwenda kutuma hela na ki card chako mbuzi kisichotambuliwa ukapigwa chini.

Sijakosa elimu kama unavyodhani.Serikali ya CCM ndio hawakujua watendalo kwa kutoweza digest dhana ya KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE ,kwani ni tabia yao sana kuegemea pande fulani.
 
Wamefunzwa zaidi kuhusu nafasi zao.Kwani wakiwepo ndio wewe?Utang`aka sana hakuna afisa mwenye akili atapenda "abuse hiyo freedom of speech kihivyo",hakuna claim iliyowataka wachukue hatuaa au kutolea kauli, hapa tunaongelea kitu kinachohitaji establish ukweli kwa upande wa US kabla ya kutolea kauli.

Hiyo ban aliyowekewa ni ipi unayoijua au uliyosoma katk maelezo yake?Mbona alifanikiwa tuma kupitia njia nyingine?Mto amada yupo very simple na kawa direct wewe tuu ndio umeanza shobokea.kwani hata km ni hizo credit card uziitazo uchwara kwanini usingeenda direct zaidi ya kuanza mbwatukia?By the way US and UE kampuni ikifikia kufilisika huwa mara moja wanwahi tangaza mufilisi au wanatangazwa.

Wewe acha uzushi umejuaje ni rumor?yeye kaelezea kitu kilichomkuta sasa wewe unakiita rumor,ulipita nae hizo njia?

Sihitaji trust you ni an obvious thing like this.Mpaka hapa tuu sijapenda.Nisipende mara ya ngapi?

tatizo ni kwmaba unauliza maswali ya kijinga kama ya receiptionist wanaopoteza uliza mtu kila detailsa hata zile wasizopaswa na wasizoweza hadi mhusika anatoka na kumuuliza mgeni na wewe unafanya nini hapa?Ndipo akijieleza anaambiwa kuwa alipaswa aingie muda mrefu.

Inaelekea ungekuw amlinzi ungekuwakimeo sana.Hizi ni clue tuu na majibu aliyopewa ndio hayo ingawa pia hawakumpa maelezo sana pengine haijawa official na hivyo wengine wakaamu endelea hadi wapewe barua.Kuna sheria ni automatic, once inatangazwa kuwa Tanzania wameshiriki nchi zilizofungiwa na US kuna sheria zinaweka wazi automatically makampuni wa US yanapaswa zingatia.


Sijakosa elimu kama unavyodhani.Serikali ya CCM ndio hawakujua watendalo kwa kutoweza digest dhana ya KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE ,kwani ni tabia yao sana kuegemea pande fulani.

Kama hamjaweka jina la benki na nchi aliposhindwa kutuma fedha ili watu makini wanaofuatilia mambo waweze kufuatilia kwa undani, mtakuwa mnaendekeza uzushi.

The Sagan rule still applies, extraordinary claims require extraordinary evidence.

Utajuaje kama Tanzania siyo iliyoiblock hiyo bank? Wenyewe mnasema ameweza kutuma kwa benki nyingine.
 
Kama hamjaweka jina la benki na nchi aliposhindwa kutuma fedha ili watu makini wanaofuatilia mambo waweze kufuatilia kwa undani, mtakuwa mnaendekeza uzushi.

The Sagan rule still applies, extraordinary claims require extraordinary evidence.

Utajuaje kama Tanzania siyo iliyoiblock hiyo bank? Wenyewe mnasema ameweza kutuma kwa benki nyingine.

unaleta guessswork katk serious na obvious issues?Ndio maana nilikuambia huwezi pretende hata kuwa afisa wa US.Wap wamefundishwa msitiri mtoa taarifa at least ktk stage za mwanzo.Wewe unalilia kila kitu kiwe public hata kabla mambo fulani hayajwa established.

Kwa ujumla unapoteza muda kama wengine,unataka proof kwa mambo yasiyo ya msingi.Sasa unaleta guessworks kibao.Nikiendelea jibizana na wewe zaidi utakuwa umeweka makisio ya mfululizo.
 
unaleta guessswork katk serious na obvious issues?Ndio maana nilikuambia huwezi pretende hata kuwa afisa wa US.Wap wamefundishwa msitiri mtoa taarifa at least ktk stage za mwanzo.Wewe unalilia kila kitu kiwe public hata kabla mambo fulani hayajwa established.

Kwa ujumla unapoteza muda kama wengine,unataka proof kwa mambo yasiyo ya msingi.Sasa unaleta guessworks kibao.Nikiendelea jibizana na wewe zaidi utakuwa umeweka makisio ya mfululizo.

Kati ya anayekataa kutoa jina la benki na nchi ili uchunguzi wa kina ufanywe, na mie ninayetaka habari hizi zitolewe ili uchunguzi wa kina ufanyike, nani anafuga guesswork hapa?

Kutaja jina la benki na nchi kutatoa vipi habari za mtu binafsi? If I say I bank with Standard Chartered and this was in the UK, how does that reveal my identity? Kama tungekuwa tunajali privacy kihivyo basi hata JF ingekuwa kuja vigumu.

Kwa ujumla ama habari yenu haina mshiko, ama hamuwezi kuweka ushahidi hata mdogo tu wa kuhakikisha hilo.

Na mtu yeyote makini atawachukulia kama waganga njaa mnaojikita katika propaganda mbaya isiyo kichwa wala mguu.

No research, no right to speak.
No evidence, no right to accuse.
 
Kati ya anayekataa kutoa jina la benki na nchi ili uchunguzi wa kina ufanywe, na mie ninayetaka habari hizi zitolewe ili uchunguzi wa kina ufanyike, nani anafuga guesswork hapa?

Kutaja jina la benki na nchi kutatoa vipi habari za mtu binafsi? If I say I bank with Standard Chartered and this was in the UK, how does that reveal my identity? Kama tungekuwa tunajali privacy kihivyo basi hata JF ingekuwa kuja vigumu.

Kwa ujumla ama habari yenu haina mshiko, ama hamuwezi kuweka ushahidi hata mdogo tu wa kuhakikisha hilo.

Na mtu yeyote makini atawachukulia kama waganga njaa mnaojikita katika propaganda mbaya isiyo kichwa wala mguu.

No research, no right to speak.
No evidence, no right to accuse.
Wala hutakiwi pewa pa kushika,mtoa mada hakuleta kwa nia ya kushitaki ila kuwashtua watu alicho experience.Ni wewe tuu ndie uliyepeleka katik fikra za kutafuta wa kulaumu na kwa haraka ukachukua side ya anayejilinda(aliyelaumiwa).

kama umetaka nchi na bank its obvious ungetaka mengi zaidi kwa i haya haaytoshi kusaidia chochote.Mbona usiulizie wabongo wanaokosa VISA?Hadi kulazimishwa kumeza maswali namajibu.


Research ya nini kwa kitu obvious.Utanyimwa ticket ya ndege wakati una hela na kila kitu halafu ukitoa malalmiko anatokea mpuuzi anakuambia "No research, no right to speak" si utakuwa wendawazimu.Siku anabakwa mtu katk mitaani wapitao watu halafu ana mpa warning mtu wa jinsia ya kike kwenu,wewe mwambie huyo jamaa mzushi, "No research, no right to speak." then muendelee hadi siku research ithibitishe kuwa ni kweli.Si how abusive you are with "No research, no right to speak."
 
Exaaaaaactly.

Tena huna hata haja ya kwenda kwenye vi cash checking place.

Unabofya tu www.moneygram.com angalia hapo "Send To" fanya kama unachagua nchi utaiona Tanzania ipo.

Mie ndo maana nikatumia diplomasia kusema "the issue is not with Iran or Tanzania, it is much more localized" meaning inaweza kuwa ni ki credit card chako umekitumia mara ya kwanza kimepeta, kimewapa watu shida kutoa hela, wameki block, wanakupa sound za Iran sijui hivi na vile.

Mnyamwezi angefanya habari hii tungejua wabongo wote.

Mbona wengine tunatumia cousins ada and things hamna shida?

Msisingizie Iran kwa matatizo yenu jamani. Kikwete tunamsema kwa mengi, lakini hizi propaganda nyingine zimezidi.

Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist

The FATF added Pakistan, Indonesia, and Thailand along with Ghana and Tanzania to its blacklist.The Financial Action Task Force has found that those five countries were flaunting recommendations made to them toward fighting money-laundering and financing terrorism, its executive secretary, Rick McDonell, told journalists.He explained that countries that wind up on the list have not implemented the standards.The body can make recommendations to any of the 36 countries that have signed a membership charter, as well as other nations, but it has no power to carry out sanctions.The FATF, whose recommendations reach more than 180 countries through regional networks, estimates that money laundering and related financial crimes cost between 2 percent and 5 percent of global gross domestic product.In its report, the FATF also called on governments to consider tax evasion as a money-laundering offence.The agency is also extending its focus to target the non-proliferation of weapons of massdestruction.The FATF blacklist now includes 17 countries. Aside from the five new ones, they are: Bolivia, Cuba, Ethiopia, Iran, Kenya, Myanmar, Nigeria, North Korea, Sao Tome and Principe, Sri Lanka, Syria and Turkey.The grey-list of 22 countries incudes Asian countries Bangladesh, Brunei, Cambodia, Mongolia, the Philippines, and Vietnam.

source:Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist | Asian Banking & Finance

my take: watu wanabisha kama vile mimi nipo Alqaeda list....this is real imenitokea na siyo mimi kuna mwenzangu pia imentokea
 
Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist

The FATF added Pakistan, Indonesia, and Thailand along with Ghana and Tanzania to its blacklist.The Financial Action Task Force has found that those five countries were flaunting recommendations made to them toward fighting money-laundering and financing terrorism, its executive secretary, Rick McDonell, told journalists.He explained that countries that wind up on the list have not implemented the standards.The body can make recommendations to any of the 36 countries that have signed a membership charter, as well as other nations, but it has no power to carry out sanctions.The FATF, whose recommendations reach more than 180 countries through regional networks, estimates that money laundering and related financial crimes cost between 2 percent and 5 percent of global gross domestic product.In its report, the FATF also called on governments to consider tax evasion as a money-laundering offence.The agency is also extending its focus to target the non-proliferation of weapons of massdestruction.The FATF blacklist now includes 17 countries. Aside from the five new ones, they are: Bolivia, Cuba, Ethiopia, Iran, Kenya, Myanmar, Nigeria, North Korea, Sao Tome and Principe, Sri Lanka, Syria and Turkey.The grey-list of 22 countries incudes Asian countries Bangladesh, Brunei, Cambodia, Mongolia, the Philippines, and Vietnam.

source:Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist | Asian Banking & Finance

my take: watu wanabisha kama vile mimi nipo Alqaeda list....this is real imenitokea na siyo mimi kuna mwenzangu pia imentokea

Kwahiyo kuna bank ambazo zinafuatilia kwa hizo report zina-block tu transaction katika hizo countries ndio maana still unaweza fanya transaction katika benk nyingine
 
uongowa kutupwa labda jina lako lipo kwenye mtandao wa alqaida
wacha stori za kupika

Acha kuongea pumba kama hauna cha kuandika

angalia link

Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist

The FATF added Pakistan, Indonesia, and Thailand along with Ghana and Tanzania to its blacklist.The Financial Action Task Force has found that those five countries were flaunting recommendations made to them toward fighting money-laundering and financing terrorism, its executive secretary, Rick McDonell, told journalists.He explained that countries that wind up on the list have not implemented the standards.The body can make recommendations to any of the 36 countries that have signed a membership charter, as well as other nations, but it has no power to carry out sanctions.The FATF, whose recommendations reach more than 180 countries through regional networks, estimates that money laundering and related financial crimes cost between 2 percent and 5 percent of global gross domestic product.In its report, the FATF also called on governments to consider tax evasion as a money-laundering offence.The agency is also extending its focus to target the non-proliferation of weapons of massdestruction.The FATF blacklist now includes 17 countries. Aside from the five new ones, they are: Bolivia, Cuba, Ethiopia, Iran, Kenya, Myanmar, Nigeria, North Korea, Sao Tome and Principe, Sri Lanka, Syria and Turkey.The grey-list of 22 countries incudes Asian countries Bangladesh, Brunei, Cambodia, Mongolia, the Philippines, and Vietnam.

http://asianbankingandfinance.net/c...-and-pakistan-join-money-laundering-blacklist
 
Acha kuongea pumba kama hauna cha kuandika

angalia link

Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist

The FATF added Pakistan, Indonesia, and Thailand along with Ghana and Tanzania to its blacklist.The Financial Action Task Force has found that those five countries were flaunting recommendations made to them toward fighting money-laundering and financing terrorism, its executive secretary, Rick McDonell, told journalists.He explained that countries that wind up on the list have not implemented the standards.The body can make recommendations to any of the 36 countries that have signed a membership charter, as well as other nations, but it has no power to carry out sanctions.The FATF, whose recommendations reach more than 180 countries through regional networks, estimates that money laundering and related financial crimes cost between 2 percent and 5 percent of global gross domestic product.In its report, the FATF also called on governments to consider tax evasion as a money-laundering offence.The agency is also extending its focus to target the non-proliferation of weapons of massdestruction.The FATF blacklist now includes 17 countries. Aside from the five new ones, they are: Bolivia, Cuba, Ethiopia, Iran, Kenya, Myanmar, Nigeria, North Korea, Sao Tome and Principe, Sri Lanka, Syria and Turkey.The grey-list of 22 countries incudes Asian countries Bangladesh, Brunei, Cambodia, Mongolia, the Philippines, and Vietnam.

Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist | Asian Banking & Finance

Mkuu,
Tupe details zaidi maana jarida hilo ulilonukuu walitoa habari hii mwezi February 2012 CUSTODY & CLEARING | Cesar Tordesillas, IndonesiaPublished: 17 Feb 12
1819 views Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist | Asian Banking & Finance kabla ya sakata la Iran halijaanza kupigiwa kelele na yule mwanasiasa wa Marekani.

Pia taasisi hiyo ya The FATF ktk website yao inaonesha ina nchi wanachama 36 tu (ikiwamo mataifa makubwa ya kibiashara na kibenki) na objective yao kubwa ni kusaidia/kuboresha uwiano kimataifa 'standards' a.k.a viwango na siyo kuweka vikwazo:

The Financial Action Task Force (FATF) is an inter-governmental body established in 1989 by the Ministers of its Member jurisdictions. The objectives of the FATF are to set standards and promote effective implementation of legal, regulatory and operational measures for combating money laundering, terrorist financing and other related threats to the integrity of the international financial system. The FATF is therefore a "policy-making body" which works to generate the necessary political will to bring about national legislative and regulatory reforms in these areas. Source: http://www.fatf-gafi.org/pages/aboutus/
 
Mkuu,
Tupe details zaidi maana jarida hilo ulilonukuu walitoa habari hii mwezi February 2012 CUSTODY & CLEARING | Cesar Tordesillas, IndonesiaPublished: 17 Feb 12
1819 views Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist | Asian Banking & Finance kabla ya sakata la Iran halijaanza kupigiwa kelele na yule mwanasiasa wa Marekani.

Pia taasisi hiyo ya The FATF ktk website yao inaonesha ina nchi wanachama 36 tu (ikiwamo mataifa makubwa ya kibiashara na kibenki) na objective yao kubwa ni kusaidia/kuboresha uwiano kimataifa 'standards' a.k.a viwango na siyo kuweka vikwazo:

The Financial Action Task Force (FATF) is an inter-governmental body established in 1989 by the Ministers of its Member jurisdictions. The objectives of the FATF are to set standards and promote effective implementation of legal, regulatory and operational measures for combating money laundering, terrorist financing and other related threats to the integrity of the international financial system. The FATF is therefore a "policy-making body" which works to generate the necessary political will to bring about national legislative and regulatory reforms in these areas. Source: About Us - Financial Action Task Force (FATF)

....Mkuu fanya na wewe home work hiyo ya kutafuta...mie nilieleza story yangu na matokeo ya mwisho nimeyatoa kwamba nimefanikiwa kutuma katika bank Y....if you want to go further please let it be your assigment you have internet and everything....I have done with this since I have successful send my money through bank Y...
 
kwa taarifa y hiyo link ni kuwa hatujaweka mipango sahihi ya kupambana na money Laundering ikiwepo kuweka viwango makini.

Kwa haraka ni kwamba tutakuwa na vikwazo vingi baadaye,kwani hili la Iran linatuwa katika process, halafu mafisadi nao wataanza andamwa,na mengine mengi
 
Acha kuongea pumba kama hauna cha kuandika

angalia link

Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist

The FATF added Pakistan, Indonesia, and Thailand along with Ghana and Tanzania to its blacklist.The Financial Action Task Force has found that those five countries were flaunting recommendations made to them toward fighting money-laundering and financing terrorism, its executive secretary, Rick McDonell, told journalists.He explained that countries that wind up on the list have not implemented the standards.The body can make recommendations to any of the 36 countries that have signed a membership charter, as well as other nations, but it has no power to carry out sanctions.The FATF, whose recommendations reach more than 180 countries through regional networks, estimates that money laundering and related financial crimes cost between 2 percent and 5 percent of global gross domestic product.In its report, the FATF also called on governments to consider tax evasion as a money-laundering offence.The agency is also extending its focus to target the non-proliferation of weapons of massdestruction.The FATF blacklist now includes 17 countries. Aside from the five new ones, they are: Bolivia, Cuba, Ethiopia, Iran, Kenya, Myanmar, Nigeria, North Korea, Sao Tome and Principe, Sri Lanka, Syria and Turkey.The grey-list of 22 countries incudes Asian countries Bangladesh, Brunei, Cambodia, Mongolia, the Philippines, and Vietnam.

Indonesia, Thailand and Pakistan join money laundering blacklist | Asian Banking & Finance
bado ni utumbo taarifa hio haihisiani na storyyako ya kunyimwa kusafirisha pesa wala haina uhusiano na meli za iran.
ukweli kwa hali ya sasa ya siasa za nje za Tanzania haiwezi kuwekewa vikwazo na wakubwa...sisi ni hewala bwana na migodi yetu na vitalu vyetu vya gas na mafuta tumewapa hao wakubwa wa kuweka vikwazo unafikiri hawana akili
jaribu kuja kutaifisha hapo ndio utajua wazungu ndio nani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom