Madhara ya kusajili meli za wairan yaanza kuonekana(some bank block money transfer to Tanzania).....

Mkuu pengine wewe mwenyewe ndio unakisiwa maana sisi tunatuma kama kawaida na hakuna kitu hicho...

Mkuu nitafanya utafiti tena naenda katika benki nyingine then nitakuja na jibu na nitawauliza sababu kwa nini hatuwezi tuna pesa.....siyo kwamba nasikiwa kwa kuwa yeye alicheki tu nchi ninayotuma ni Tanzania basi akasema siwezi tuma pesa Tanzania....sasa nitaenda different bank then nitaleta majibu hapa jukwaani maana mimi mwenyewe imenikera kwa kuwa nina shida sana ya kutuma pesa bongo naenda then wananiambia hivyo
 
Hawana ujanja wala uwezo wa kutuwekea vikwazo. Tanzania hatufungamani na siasa za upende wowote, hatuko tayari na hatutakuwa tayari kuchaguliwa marafiki/maadui na mataifa mengine.
Wewe unachekesha wafiwa msibani, hawatuwezi kivipi wakati wameshatuweza? Nchi za ulaya zime tu block na Mimi mwenyewe ni victim wa Hali Iyo wewe bado unasema hawatuwezi? Wacha kuwa Kama ally chemical wa Iraq ya sadam tumia kaelimu kako Ka primary.....
 
Mkuu nitafanya utafiti tena naenda katika benki nyingine then nitakuja na jibu na nitawauliza sababu kwa nini hatuwezi tuna pesa.....siyo kwamba nasikiwa kwa kuwa yeye alicheki tu nchi ninayotuma ni Tanzania basi akasema siwezi tuma pesa Tanzania....sasa nitaenda different bank then nitaleta majibu hapa jukwaani maana mimi mwenyewe imenikera kwa kuwa nina shida sana ya kutuma pesa bongo naenda then wananiambia hivyo
Jaribu, mimi nimetuma juzi tu jumamosi..
 
Mkuu uko sawa kabisa Hata Mimi limenitokea ila sikudhani ni sababu ya wa iran ikabidi nitumie western union na hili tatizo limenikuta Mimi scandnavian na Nina amini itasambaa Europe na America. Mungu ibariki Tanzania
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo
 
Mkuu uko sawa kabisa Hata Mimi limenitokea ila sikudhani ni sababu ya wa iran ikabidi nitumie western union na hili tatizo limenikuta Mimi scandnavian na Nina amini itasambaa Europe na America. Mungu ibariki Tanzania

Mkuu hii kitu inasambaa Nami pia limenitokea jana tu niikwenda kutuma pesa wamesemaa siwezi tuma Tanzania(blocked)...hivi nitaenda kujisalimisha Western Union hopeful huko tunatuma kama kawaida...mimi nipo nchi za Asia
 
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo


POLE SANA NDUGU; hii yote inatokana na tamaa za misaada na siasa mbovu za woga wa viongozi wetu, wanashindwa hata kutafsiri sheria za kimataifa kuhusu vikwazo, bali wao wanadhani kufanya 'usanii' ili kujipendekeza kwa wa-iran ndio wanapata misaada kumbe wanaangamiza uchumi kwa walio ndani na nje ya nchi. Hii yote inatokana na kitu kinachoitwa 'sanctioned country' na nchi zote zilizoafiki au kuwa chini ya resolution za UN lazima zifuate na ku-comply, anayekiuka taratibu hizi, mfumo wa fedha wa kimataifa na mabenki yanatekeleza tu majukumu yake ya 'kuziba nyufa' hizo, na yawezekana ndicho kilichokukumba na weye kwa upande wa TZ.
 
Mkuu nitafanya utafiti tena naenda katika benki nyingine then nitakuja na jibu na nitawauliza sababu kwa nini hatuwezi tuna pesa.....siyo kwamba nasikiwa kwa kuwa yeye alicheki tu nchi ninayotuma ni Tanzania basi akasema siwezi tuma pesa Tanzania....sasa nitaenda different bank then nitaleta majibu hapa jukwaani maana mimi mwenyewe imenikera kwa kuwa nina shida sana ya kutuma pesa bongo naenda then wananiambia hivyo

Kama umeshapata jibu hilo tayari hali hiyo ipo.Hao wengine wanaobishana mpaka na fikra zao achana nao.US hawahitaji jua kama tunafungamana au hatufungamani, wala hawatatuchagulia rafiki ila tukiwa na vigezo vya kufungiwa hawatakuwa na sababu kutaka tuwe exception.Kwa hiyo ni sisi kujua kuwa tuki qualify kuingia kwenye sanctions ndio tutajua vizuri mambo.Sijui kama Iran watanunua gas yetu,instead wanaichuku ana kuuza kama yao kimagendo kwa gia ya kutusaidia.Watanzania Walio wa iran mifukoni mwao watakuwa na hela za rushwa mifukoni mwa na wasio wa iran watasaga meno.Rostam na buch ya wengine hawatapa njaa ya aina yoyote kwani watakwenda hizo nchi na mashriki ya mbali na kula nchi.
 
Mkuu pengine wewe mwenyewe ndio unakisiwa maana sisi tunatuma kama kawaida na hakuna kitu hicho...

kama ni yeye angekuwa wa kushikwa na si wa kuhisiwa na kufungiwa huduma.FBI hawafanyi ujinga wa kuzuia fraudstar kufanya kitu ila wanamwacha afanye ili ushahdidi upatikane, na mabank hayawezi kunyima huduma bila kufuata sheria kwani wanaweza shitakiwa na kukamuliwa hela kwa ubaguzi na mengine membi ambayo colored people wnaya abuse.
 
acha pumbea nauzandiki..habari za fita tuuu,unavielelezo......

Ulivyo dhaifu kama rais wako hata ukipewa vielelezo huna uwezo wa kufanya lo lote. Bado account zenu za nchi zitafungiwa ndipo mtajua huko duniani neno dhaifu halipo kwenye kamusi za tawala makini.
 
kama ni yeye angekuwa wa kushikwa na si wa kuhisiwa na kufungiwa huduma.FBI hawafanyi ujinga wa kuzuia fraudstar kufanya kitu ila wanamwacha afanye ili ushahdidi upatikane, na mabank hayawezi kunyima huduma bila kufuata sheria kwani wanaweza shitakiwa na kukamuliwa hela kwa ubaguzi na mengine membi ambayo colored people wnaya abuse.
Umeanza na Ubishi wako...Nazungumza kitu ambacho ndio maisha yangu ya kila siku wewe msomaji tu. FBI wakitoa amri ya kukataza fedha kutumwa nchi yoyote wanakataza moja kwa moja na mashirika yote yanayotuma fedha nje hukatazwa kufanya hivyo acha Bank pekee..Sasa mimi nakwambia hakuna sheria hiyo isipokuwa kuna watu hukisiwa na wamezuiwa kutuma fedha nje pengine kwa kukisiwa mahusiano na Alqaeda. FBI wanaweza tu kumwachia mtu afanye ili wamshike ikiwa anafanya biashara haramu iwe Unga au money laundry ili wapate ushahidi wanaoutaka na sio swala la vikwazo.
 
Ulivyo dhaifu kama rais wako hata ukipewa vielelezo huna uwezo wa kufanya lo lote. Bado account zenu za nchi zitafungiwa ndipo mtajua huko duniani neno dhaifu halipo kwenye kamusi za tawala makini.

Mpe ukweli huyo not a great thinker kazi yao ni ku abuse "Lete ushahidi, au reference"
 
Umeanza na Ubishi wako...Nazungumza kitu ambacho ndio maisha yangu ya kila siku wewe msomaji tu. FBI wakitoa amri ya kukataza fedha kutumwa nchi yoyote wanakataza moja kwa moja na mashirika yote yanayotuma fedha nje hukatazwa kufanya hivyo acha Bank pekee..Sasa mimi nakwambia hakuna sheria hiyo isipokuwa kuna watu hukisiwa na wamezuiwa kutuma fedha nje pengine kwa kukisiwa mahusiano na Alqaeda. FBI wanaweza tu kumwachia mtu afanye ili wamshike ikiwa anafanya biashara haramu iwe Unga au money laundry ili wapate ushahidi wanaoutaka na sio swala la vikwazo.

hujui usemalo.wewe rudi kasome ulichoandika kabla.Unajihami tuu kizembe.KAMA YEYE NDIYE TARGET BASI ALIPASWA SHIKWA KWA KOSA LA MONEY LAUNDERING,NA ZOEZI LA KUTUMA HELA LINGEPASWA KUWA SEHEMU YA USHAHIDI.KWA VILE SI YEYE NDIO MAANA BANK HAIKUONA SABABU YA KUSAIDIA USALAMA BADALA YAKE WAKAMWAMBIA HUDUMA HAIPO NA SABABU WAKAMPA.Hembu amka ndugu yangu.
 
hujui usemalo.wewe rudi kasome ulichoandika kabla.Unajihami tuu kizembe.KAMA YEYE NDIYE TARGET BASI ALIPASWA SHIKWA KWA KOSA LA MONEY LAUNDERING,NA ZOEZI LA KUTUMA HELA LINGEPASWA KUWA SEHEMU YA USHAHIDI.KWA VILE SI YEYE NDIO MAANA BANK HAIKUONA SABABU YA KUSAIDIA USALAMA BADALA YAKE WAKAMWAMBIA HUDUMA HAIPO NA SABABU WAKAMPA.Hembu amka ndugu yangu.
Hawamshiki mtu inapokatazwa kutuma fedha ktk nchi au jumuiya ilowekewa vikwazo. Unaweza kutuhumiwa kuwa unatuma fedha za kuisaidia Alqaeda na hivyo imekatazwa na kwa baadhi ya watu wanaokisiwa hukataliwa tu hashikwi mtu..Wengine majina yao tu yanawaponza na nakuambia hivi kwa sababu inafanyika hadi kesho.. Sisemi kwa kusoma au kufikiria ila ndivyo inavvyofanyika hapa. Wewe hauishi huku bado unabisha tu ili mradi kubisha. Bora wafundishe FBI kazi yao basi..
 
Mkuu hii kitu inasambaa Nami pia limenitokea jana tu niikwenda kutuma pesa wamesemaa siwezi tuma Tanzania(blocked)...hivi nitaenda kujisalimisha Western Union hopeful huko tunatuma kama kawaida...mimi nipo nchi za Asia


Western union watakusaidia tuombe mungu na wao wasi block ila ni hatari sana kwa nchi yetu
 
Diaspora ya Ghana inashikilia nafasi ya tatu kwa uchumi wa nchi hiyo; ya Nigeria ni ya nne kwa kuchangia uchumi wa nchi hiyo, vivyo hivyo kwa Uganda. Hapa kwetu badala ya kuweka mazingira mazuri kwa walio nje ya nchi kuchangia uchumi wa nchi yetu kama ilivyo kwa nchi za wenzetu, kwa ujuha wetu tunaziba hata kile kidogo kilichokuwa kinapatikana! Tumekwisha.

dudus, unajua idadi ya watanzania walio nje? Na pia unajau wanafanya kazi gani/wana elimu gani (majortiy yao?). Tofauti na nchi nyingi Africa, Tanzania hatuna tatizo kubwa sana la 'brain -drain (ukiondoa saga/matokeo ya saga ya mgomo wa madaktari) lakini pia elimu ya watanzania wengi walio nje ni ya mashaka kulinganisha na nchi nyingine.

Hapa naongelea kwa ujumla - kwamba 'wengi' wana elimu ya chini na hivyo hata shughuli zao za kiuchumi sio za maana sana zaidi ya kulipa bill za nyumba, nauli etc. Wa-Nigeria au Wa-Ghana wengi kwa mfano wana msingi mzuri wa elimu, nadhani hili linaanzia nyumbani. Ukiongea na graduates wa Ghana (aliyesoma huko huko kwao Ghana) ni tofauti sana na sisi. Labda kwa sababu wanatumia lugha ya kiingereza kuanzia mwanzo hivyo hawapati shida huko mbeleni.

Wanasiasa wamekuwa wanapiga kelele sana na hii issue ya Diaspora, lakini ukimuuliza hata waziri wa mambo ya nchi za nje, kuna watanzania wangapi nje ya nchi - hana jibu la uhakika.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom