Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Sasa mie nnayetuma hela na hao wasioweza kutuma hela hawajui hata sababu wanasingizia Iran nani kauchapa usingizi?
Kama Iran ingekuwa issue mie ningewezaje kutuma hela?
umesoma maelezo yake vizuri?