Madhara ya kula ugali kwa wingi

ila Mimi sipendi sembe sio kwa sababu ya kuwa na kipato kizuri. Kipato changu ni cha kawaida sana, ila nina shukrani kwa Mungu.
 
Wanasema wengi tupo addicted na ugali. Mimi mwenyewe mmojawapo, nikipitisha siku tatu sojala ugali nahisi kuchanganyikiwa 😁
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…