anayechinjwa shingoni huwa akuwa hajafa?
[/SIZE]
Tofauti yetu waislamu na nyie WAGALATIA NI kuwa, NYIE Muhimu kwenu ni MNYAMA AFE ILI MPATE KUMTAFUNA! Na hamjali hata kidogo namna gani huyo MNYAMA KAFA!
iwe MTATUMIA NYUNDO, RISASI, RUNGU,MAKOFI au HATA KUPIGA KABALI kama mnavyo wafanya KUKU NA BATA!
NA HAO NGURUWE kwa sababu hawana shingo kama za wanyama wengine! MNAKATA SHINGO ZAO KWA NYUMA! Yaani kuanzia KISOGONI, Tena hapo baada ya KUMPIGA NYUNDO!
SISI LAZIMA TUCHINJE KWA MUJIBU WA SHERIA YA MUNGU ALIYOIWEKA! NA WALE WANYAMA AMBAO HATA YESU PIA ALIKULA!
Ndio maana KILICHOUWAWA auKUCHINJWA NA MKRISTO! Kwa MUISLAMU NI HARAM KULA!!
Kwahiyo zile nyama poli kama nyati huwa anachinja mtume mwamedi na siyo shortgun? Kweli akili ni mali.
Andiko pls!
jazba mpelekee mkeo!
Nyati tunapiga miguu kwanza! Au tunavunja kiuno na risasi! Halafu TUNACHINJA SHINGONI!
Sio nyie kazi yenu kupiga kabali kama majambazi!
We mkubwa mzima unaenda mpiga kabali kuku! Au bata!
Hivi nyie wagalatia Hamna haya!?
Utachekwa bure bora ukae kimya tu, unamjuwa nyati wewe?
Ndio shida ya kufuata dini kwa mkumbo na hujui lolote kuhusu hunting unajichoresha tu.
Utachekwa bure bora ukae kimya tu, unamjuwa nyati wewe?
Ndio shida ya kufuata dini kwa mkumbo na hujui lolote kuhusu hunting unajichoresha tu.
We usigeuze uzi hapa!
Hunting uijue wewe muefeso??
Teh teh teh.
Nyie mnapiga kabali wanyama! Halafu mnakula!
Andiko linasema nini kuhusu uchinjaji??
Mkilacho ni NYAMAFU.
Thats all.
Rosemary Alvarez alijikuta
akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa
scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa
upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain
yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo
kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia
parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata
uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena
inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa
chini
Source :
ABC
News: It's Not a Tumor, It's a Brain Worm
Angalia hapa Mchina huyu pia akitolewa minyoo mingi usoni ambayo pia
ilisababishwa na utamaduni wa kula nyama ya nguruwe:
Je
wewe ni mpenzi wa kitimoto?, fikiria tena.
Unclean...wash it dear Leviticus...and the pig, for though it divides the hoof, thus making a split hoof, it does not chew cud, it is unclean to you. 8 You shall not eat of their flesh nor touch their carcasses; they are unclean to you.
Leviticus 11:7-8