Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Hizi siyo propaganda za JK. Chadema na Padre Slaa agenda yao kubwa ni kuleta Ukatoliki serikalini. Waislamu wanajua huu mpango. Nyerere aliwaumiza na kuwatesa sana Waislamu kwa Ukatoliki wake. Safari hii, Waislamu hawatokubali kumuona Padre Slaa anakuwa Rais. No Way.
kikwete amewasaidia nini na uislamu wake? kuwaruhusu kwenda pakistani kujaza viroba vya 'unga' na kuja kuuwa vijana wetu sivyo?
si alipewa orodha ya wauza unga? alipoona 99.99% ni waislamu alifanya nini zaidi ya kunyamaza?
usilete udini wa kijinga maana wengine tunaweza kukunanga vilevile.