Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tahadhali inatolewa kwa wote wanaotumia condomu kuwa, utafiti umefanywa na umethibitisha kuwa ukitumia condomu kwa muda mrefu wanaume watakosa nguvu za kiume na hii imepelekea vijana wengi kutumia viagra sana au kupiga bao moja tu, kwa upande wa hakina dada wanaugua fangasi sehemu za siri na kuwashwa sana na kutokwa maji maji machafu na yanatoa harufu mbaya. KAZI KWENU.
Wengi wametaka ushahidi, nao ni huu, uume kawaida uwa unatanuka na kuwa mkubwa, hii inafanyika kwa msaada wa elastic nerve (misuli), unapokuwa umevaa kondomu hizi nerve huwa zinasukuma plastic ya kondomu ili uume utanuke, na hapo hapo mpila nao unasukuma hizo nerve ili uume usinyae, hatimaye misuli inachoka na kuacha kutanua mboo, matokeo yake kila unapotaka kuingiliana na mwanamke ni lazima unywe dawa,
Kwa hakina mama, kwenye kondomu kuna vilainishi (Gelly), hivi vilainishi ni chakula cha fangas aina ya chramidy, wakati wa kuvaa kondomu unatakiwa hiyo gelly iwe kwa nje ili isaidie uume kungia kwenye uke, hapo ndipo wadudu hao wapoingia kwa mwanamke
wanawake wengi huwa wanajipangusa kwa leso, gelly hii inanata sana haitoki, hata Ukiosha kwa sabuni inajibanda kwenye kuta za uke na kuwasaidia wadudu kuzaliana. Hapo ugonjwa unaingia .Hapo panatosha,
Check this,
CONDOM IS IMMORAL:
• Married people can not use condoms, because they can not misuse the power
to give life they received from God.
• Married people can not use condoms outside marriage, because God said"
"You can not commit adultery."
• Single people can not used condoms, because God said also to them: "Yu can
not commit adultery."
Edited by DIOCESAN FAMILY CENTRE
P.O. Box 205 - Vanimo 551 – Sandaun Province – T. 8571224
December 2001
Binafsi nakubaliana na hilo la fungus kwa sisi wanawake. Mwenyewe ilisha nitokea nilipatwa na fungus sababu ya kutumia condoms na nilishauriwa hospitalini kiache kabisa kuzitumia na tangu kipindi hicho sijatumia tena condom na sijapatwa na fungus tena.
"Naomba msiniulize ninatumia nini badala ya condoms!!... ila nina jali sana afya yangu"
kuhusu kupungua kwa nguvu upande wa wanaume sinauhakika nalo
teh teh tihiii.........Ukizoea kutumia sana condom yaani siku umeoa wife utataka uendelee kutumia sijui wife atajisikiaje?
At one time kuna watu nshawai kuiskia kulalamika kuwashwa nyetini baada ya tendo though depending na aina ya Kondom.
kWA ILO LA NGUVU ZA KIUME NDO NASIKIA LEO.
lete source otherwise to us JF itakuwa ni kama GOSSIP
Tafadhali mimi naomba kujua unatumia nini baada ya kuacha kutumia condoms ili na mimi au mtu mwingine yeyote ambaye atafikia uamuzi wa kuachana na matumizi ya condoms aweze kutumia njia hiyo nafikiri utakuwa umesaidia na kuokoa watu wengi sana BornTown kuliko kuwa msiri kwa kiwango hiki ambacho wewe unataka kuwa"Naomba msiniulize ninatumia nini badala ya condoms!!... ila nina jali sana afya yangu"
Naam stakeholderNdugu zangu
Ni vyema kuwa waangalifu kwenye mambo yanayohusu mwili wa binadamu. Sikubadiliani na uongo wa ndugu yetu kuhusu condom. Ukifuatilia utafiti wa kisayansi kuhusu faida na hasara za condom, wengi tunakubaliana kuwa faida ni zaidi ya maradufu. Hivyo in abscence of evidence tuache utani kwenye hili
Willy
Naam stakeholderTuseme wataalam wetu hawajui?umefanya research?au umepata kwenye chanzo chochote kama vp kianike jamvini.
I concur with you!!Asante kwa "tahadhali";
Utafiti pia umegundua kwamba tetesi na fikra nyingi potofu zimechangia sana kueneza kasi ya maambukizi ya ukimwi na mimba zisizokuwa na mpangilio;
aidha pia utafiti huohuo umegndua kwamba kuna watu wana-hallucinate [na kuota ndoto]; na baada ya hapo huwa wanakurupuka na kupost vitu wanavyoviona au kuviota kama tafiti!!
Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni!!! I wish for JF doctors to come and recue us here!!! mandari ya fungus kukua si condom pekee, uchafu, vagina pH due to various physiclogical factors, kuingiza sabuni huko na kuosha sana kiasi cha kubadili uhalisia, mix ya vitu toka nyuma kuingia mbele kwa namna yoyote ile n.k. Sijui tukipambanisha fungus na ukimwi itakuwa vipi