Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 49
Tahadhali inatolewa kwa wote wanaotumia condomu kuwa, utafiti umefanywa na umethibitisha kuwa ukitumia condomu kwa muda mrefu wanaume watakosa nguvu za kiume na hii imepelekea vijana wengi kutumia viagra sana au kupiga bao moja tu, kwa upande wa akina dada wanaugua fangasi sehemu za siri na kuwashwa sana na kutokwa maji maji machafu na yanatoa harufu mbaya. KAZI KWENU.