KALYANKOZILE
Member
- Apr 24, 2013
- 19
- 1
Neno kingamuzi limetumika kumaanisha matumizi ya vileo ambavyo hupelekea mtu kumtafuta mpenzi yoyote na kumpata na kutumia style zozote kutokana na msukumo unaotokana na kingamuzi alichotumia.Mfano anaweza kukutana na white au black au maji ya kunde,mwembamba,mrefu,mfupi n.k na hii inategemea na alikotembelea kununua kingamuzi cha siku hiyo na kwa upande wa style hata tigo anaweza tumia au kutumiwa.Pia matumizi ya life jaket kwake huwa ni usumbufu,kubaka au kubakwa huona ni haki yake,hupenda kuonga au kuongwa na wengine huwa ni free.Hii ni kutokana na kingamuzi (kilevi) kuwa kichocheo (catalyst) cha kutaka kufanya tendo la ndoa.Wito wangu tuchague wapenzi tuwapendao tukiwa na akili timamu(bila kutumia kingamuzi) na tuwaheshimu na tusisahau kauli mbiu "TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA"