Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 28,808
- 39,013
Kubambikiwa watoto katika familia ni jambo la kawaida,inawezekana hii tabia ilianza tangu enzi za mababu zetu. Kwa kizazi cha sasa, tusitumie teknolojia (DNA) kufahamu kama mzazi mwenzio amechakachua au laa; kufanya hivyo ni kuhatarisha uhusiano uliopo na kusababisha maafa.
Je, huo ujasiri unao?
Je, huo ujasiri unao?