Wana Jf naomba ushauri,mi tatizo langu ni kutumia chumvi nyingi kuliko kawaida yaani msosi ukifika mezani naongeza kabla ya kuonja...!?.Bila shaka ingekuwepo tuzo ya watumiaji chumvi ningechukua Afrika mashariki na kati,Record niliyoiweka nilikuwa naweka chumvi kwenye chapati za kusuma mezani!?
Naomba nijue madhara na jinsi ya kuacha...
Naomba nijue madhara na jinsi ya kuacha...