Madhara ya bangi yanatokea baada ya siku ngapi?

Madhara ya bangi yanatokea baada ya siku ngapi?

Kuna dogo kitaa alikua anaongea peke yake kama chizi aisee kisa bangi,alikua anafanya biashara zake vizur sijui nini kilisababisha akajihusisha na bangi ila mzee wake alimchukua yuko fresh now
Principles za bangi ni usitumie ukiwa disparated, uko na msongo wa mawazo/stress au eti umeumizwa na mapenzi unataka utumie ganja unajidanganya itakuondolea stress yaani unajikaanga mwenyewe na mafuta ya bangi..

Kuamua kuvuta bangi kunahitaji busara sana na sio kukurupuka kwa mihemko, mtu anatakiwa aichukulie kama starehe tu au kitu cha kawaida kama kuamua kutafuna big G kwa sabu tunajua kutafuna big G hakukufanyi ushibe!

NB: Bangi haiondoi stress wala sio solution ya matatizo, ukitumia bangi na stress unakua kichaa..
 
Principles za bangi ni usitumie ukiwa disparated, uko na msongo wa mawazo/stress au eti umeumizwa na mapenzi unataka utumie ganja unajidanganya itakuondolea stress yaani unajikaanga mwenyewe na mafuta ya bangi..

Kuamua kuvuta bangi kunahitaji busara sana na sio kukurupuka kwa mihemko, mtu anatakiwa aichukulie kama starehe tu au kitu cha kawaida kama kuamua kutafuna big G kwa sabu tunajua kutafuna big G hakukufanyi ushibe!

NB: Bangi haiondoi stress wala sio solution ya matatizo, ukitumia bangi na stress unakua kichaa..
Upo sahihi,
 
Kuna dogo kitaa alikua anaongea peke yake kama chizi aisee kisa bangi,alikua anafanya biashara zake vizur sijui nini kilisababisha akajihusisha na bangi ila mzee wake alimchukua yuko fresh now
Huyo alivunja miiko ya uvutaji wa bange lazima apelekwe rehabilitation center akapate matibabu akichelewa anakuwa kichaa mazima.
 
Principles za bangi ni usitumie ukiwa disparated, uko na msongo wa mawazo/stress au eti umeumizwa na mapenzi unataka utumie ganja unajidanganya itakuondolea stress yaani unajikaanga mwenyewe na mafuta ya bangi..

Kuamua kuvuta bangi kunahitaji busara sana na sio kukurupuka kwa mihemko, mtu anatakiwa aichukulie kama starehe tu au kitu cha kawaida kama kuamua kutafuna big G kwa sabu tunajua kutafuna big G hakukufanyi ushibe!

NB: Bangi haiondoi stress wala sio solution ya matatizo, ukitumia bangi na stress unakua kichaa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuwa mwizi,mkali,kuvaa mitepesho Wala hailetwi Na bangi....sema Ni ushamba wa wabongo walivyoona mablack American kwenye TV walivyo gangster kama snoop Dogg basi wakaamini ukivuta bangi unatakiwa ubehave kama kichaa (kama cocaine) lakini bangi haina madhara ..

Inayoharibu/iliyoharibu Tabia Za Jamii kama ya wamarekani weusi Ni cocaine sio bangi
Bangi inajaribu kutetea bangi
 
Back
Top Bottom