Madereva / Waendesha 'Magari' hii 'Kitu' nimeisikia sana tu 'Kijiweni School' je, ina Ukweli wowote ule labda?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,556
108,897
Kwamba eti ukiwa unaendesha Gari, umebeba Watu/ Abiria na uko mwendo mkali sana ( bati kinoma ) kisha ukaona Mtu anakatisha mbele yako iwe kwa Miguu au akiwa katika Baiskeli au Pikipiki 'Sheria' inakuruhusu kuwa kuliko 'Kujihatarishia' Maisha yako na ya wale 'uliowabeba' basi 'uwagonge' na Maamuzi ya kwenda 'Kuripoti' Kituo cha Polisi cha karibu au Kuusikiliza 'Ubongo' wako utakavyoamua kama 'usepe' zako tu mazima unayo Wewe.

Nayasubiri kwa hamu sana Majibu yenu Wakuu (Wadau).
 
Mkuu haya mambo ni mazito...huyo mtu wa miguu or baiskeli au pikipiki ni baba,mama au tegemezi wa mtu...haya mambo ni kuwa makini tu ili yaweze kuepukika,, drive safely and observe speed limits...wape uhuru boda,bike na watembea kwa miguu nao wapite...kiukweli nimepoteza jamaa zangu makini sana kisa hizi ajali..maisha yangu yasingekua the same kama wangekuwepo...hakika.
 
"Udereva wa kujihami"

Best judgement ni minimum Damage unapokutana na ajali,
Sasa piga hesabu garini mpo watu 5,
Mtembea kwa mguu/boda/baiskel ni mmoja

Mi binafsi napita na mtu kama hamna namna ya kumkwepa bila kupoteza uhai wa watu wa5.

uamuzi ni wako
 
Back
Top Bottom