Madereva tuweni makini barabarani

Madereva tuweni makini barabarani

Hyo speed meter inavyoonesha si baby walker hyo itakuwa ford,Toyota tx na zingine lkn si baby walker.
huyo dogo mkurupukaji anakwambia baby walker hiyo inaonyesha experience yake ya magari ni ZERO
 
Walio okoka watakua wamekwisha "nyakuliwa".sijui wanapelekwa mbinguni
 
siendeshi gari la abiria hiyo ni my private car.....hata ikitokea nimekufa nitakua alone
Ukigonga gari ingine still utakuwa peke yako? Ukivamia nyumba za watu au sokoni kwasababu ni private car utakuwa peke yako? Oh I forgot, common sense is not common.
 
Back
Top Bottom