Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,580
- 4,262
Kwa mawazo yangu zaidi ya asilimia 70% ya madereva hawajui kutumia indicator ifaavyo;
Binafsi nimekuwa barabarani muda mwingi na toyo yangu asubuhi na jioni nikienda kibaruani, ukweli ni kuwa kero kubwa ninayo pata ni matumizi yasiyo sahihi ya indicator
Madereva wengi wa magari ya binafsi ambayo ndio mengi na daladala, hawatumii indicator kama inavyo faa...
Wengi wanaonesha indicator wakati wamesha anza kukata au pengine chini ya meta kumi kabla ya kukata!!!! na wengine ndio kabisa hawawashi.
Nimekuwa napata kero sana kiasi kuwa gari la mbele likipunguza mwendo, hata kama naona mbele yake kupo sawa inabidi na mimi nipunguze mwendo pengine kusimama kabisa hadi nijue anataka kufanya nini...KERO!!!!
Chukulia tu mfano wewe umefuatana na gari mwendo wa kawaida tu 80km/h halafu mtu anapunguza mwendo, wakati una anza kumpita (overtake) na yeye ana elekea upande huohuo (overatake)???
Kumbuka indicator ni kwa manufaa ya watu wote wanao tumia barabara (wenye vyombo vingine na watembea kwa miguu).
WANAO FUNDISHA MADEREVA NAOMBA MSISITIZE MATUMIZI SAHIHI YA INDIKETA (INDICATOR) KWANI AJALI NYINGI ZA KUKWANGUANA ZITAPUNGUA. Pia waendesha pikipiki wengi wamekuwa vilema na pengine kupoteza maisha kwa sababu ya matumizi yasiyo sahihi ya waendesha magari...
Najua wengi hawazitetei Pikipiki ila KAMA WEWE NI DEREVA AU DEREVA MTARAJIWA; TIMIZA WAJIBU WAKO....
Nawakilisha!!!!
Binafsi nimekuwa barabarani muda mwingi na toyo yangu asubuhi na jioni nikienda kibaruani, ukweli ni kuwa kero kubwa ninayo pata ni matumizi yasiyo sahihi ya indicator
Madereva wengi wa magari ya binafsi ambayo ndio mengi na daladala, hawatumii indicator kama inavyo faa...
Wengi wanaonesha indicator wakati wamesha anza kukata au pengine chini ya meta kumi kabla ya kukata!!!! na wengine ndio kabisa hawawashi.
Nimekuwa napata kero sana kiasi kuwa gari la mbele likipunguza mwendo, hata kama naona mbele yake kupo sawa inabidi na mimi nipunguze mwendo pengine kusimama kabisa hadi nijue anataka kufanya nini...KERO!!!!
Chukulia tu mfano wewe umefuatana na gari mwendo wa kawaida tu 80km/h halafu mtu anapunguza mwendo, wakati una anza kumpita (overtake) na yeye ana elekea upande huohuo (overatake)???
Kumbuka indicator ni kwa manufaa ya watu wote wanao tumia barabara (wenye vyombo vingine na watembea kwa miguu).
WANAO FUNDISHA MADEREVA NAOMBA MSISITIZE MATUMIZI SAHIHI YA INDIKETA (INDICATOR) KWANI AJALI NYINGI ZA KUKWANGUANA ZITAPUNGUA. Pia waendesha pikipiki wengi wamekuwa vilema na pengine kupoteza maisha kwa sababu ya matumizi yasiyo sahihi ya waendesha magari...
Najua wengi hawazitetei Pikipiki ila KAMA WEWE NI DEREVA AU DEREVA MTARAJIWA; TIMIZA WAJIBU WAKO....
Nawakilisha!!!!