Madereva 21 kutoka Kenya na 1 kutoka Uganda wakutwa na COVID19 baada ya kupimwa na Tanzania mpakani Namanga, Arusha

Naona wakuu wa mikoa wameanza kuwa vimbelembele kweli kwenye nchi hii. Utaratibu wote uliotangazwa awali umevurugwa kimya kimya.

Huyu hapa ni Mrisho Gombo wa Arusha


Kwa aina hii ya matamko, kuhusu utalii kuimarika mtasubiri sana! Ni bora mkakubaliana na ukweli ili haya mambo yaishe peupe. Huko mnakoyapeleka ni kwenye giza totoro, sasa endeleeni na ubishi huo huo.
 
Mwaka 1977 ilianza kama hivi. Si unakumbuka habari ya nyang'au? EAC ikaisha hadi tulipoamka kutoka usingizini 1999. Wakati ule ilikuwa kati ya Kenyatta Senior na Nyerere. Leo tena ni kati ya Kenyatta junior na Magufuli. Tutafika tu.
 
Mbona wanatuchanganya hawa? Covid19 kuongezeka wakati Bshite amesema tushaishinda korona watu warudie maisha yao kama awali.

Acha tu mkuu hawa wanasiasa wanafanya mzaha kwenye maisha ya watu, korona sio ya kuletea masikhara hata kidogo,Dr Mwele ameshangaa sana BASHITE alivyotoa tamko kwamba kuanzia Jumapili watu wapige kelele wapigwe shangwe waende beach, wafungulie mziki mzito sana na kama una gari piga oni za kufa mtu maana wameishinda korona Dr

Anashangaa kwanini watu warudi kama awali hata kama "Ugonjwa Umepungua" kwa mujibu wa "Dr" Bashite na Jiwe ilibidi wakae kwanza (Monitoring) kwa muda wa mwezi mmoja waangalie trend ya cases kwanza wakiona inazidi kudrop ndio wafikia hayo maamuzi yao!! Standard ni 30 days na ndio maana kenya wamefunga baadhiya mipaka yao huku TZ kwa siku 30.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…