Madereva 21 kutoka Kenya na 1 kutoka Uganda wakutwa na COVID19 baada ya kupimwa na Tanzania mpakani Namanga, Arusha

Sisi sio kaka na dada zenu nyan'gau nyie!

Hio ilkua sindimba tu bado dogoli na sangula karbuni mcheze ngoma ya kiswahili kutoka kwa waswahili!
 
Nakumbuka wakati Mheshimiwa Kikwete akihutubia Bunge la Kenya alisema sera za utangamano wa EAC hazitabadilika labda aje mtu mpumbavu kweli wa ajabu sana ambao watu wa aina hiyo Tanzania wapo kidogo sana.
 
Wakenya ni ndugu zetu,tutaendelea kutembeleana na kusaidiana lakini kwa mambo ya Covid-19 tuvumiliane kwa hatua hizi nyepesi nyepesi tunazochukua...
Haya matusi nayaona huku twitter siwezi kuwachukulia kama ndugu wanatudharau sana.
 
Hivi maabara yetu inafanya kazi mbona hawatuambii kama walileta vipimo vipya au ni wapimaji wapya wameletwa baada ya wa Mabeberu kuondolewa na sasa Wakenya ndo wako Positive huku kwetu ugonjwa umeisha
 
Kama unaamini sisi tuna undugu wa kweli na Kenya basi uhalisia wako una matatizo.
Kwani ni Kenya peke yao? Vipi na Zambia, Rwanda na Malawi? Tukijifanya mawe nakueleza hatutaenda popote.

Yani Marekani atumie gharama kubwa zote hizo kupambana na Corona halafu eti aje waruhusu watalii kwenda nchi iliyochukulia janga poa? Labda Marekani ya Sinza.
 
Wakifanya wao, sawa. Tukifanya sisi, siasa. Hapa ndiyo utajua akili ya mtu mzima na mwendawazimu haziwezi kuwa sawa!
Wabongo tuna IQ ndogo sana wala si uwongo.
Maabara yetu tumeifunga kupisha uchunguzi,hivyo vipimo mlivipimia nchi gani??

Acheni siasa kwenye maisha ya watu,hao watalii watakaokuja kwenye nchi isiyojali maisha ya watu kama hapa kwetu wanatoka sayari gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi hawa waliofichwa uraia wao hatuna shida ila hawaaaaa chokochoko hawa ndo wakukomaa nao japo ingependeza kama mchakato ungeenda kimya kimya hadi wao walalamike ni mwendo wa kipimo feki rudi kwenu kipimo feki rudi kwenu ili kuwalinda wao, mbwa kala nyauuuuuuu
 
Mimi Mkenya hapa, nimeshukuru sana kwa taarifa hizi na haya maamuzi ya Tanzania kupima madereva wanaoingia kwao, nafikiri hadi hapo mumepata jibu la kwanini na sisi tunapima wanaoingia kwenye nchi yetu, sasa hao Wakenya 11 kama wasingepimwa, wangeendelea kuambukiza huko.
Ifahamike hawa madereva wote, wa Kenya, Tanzania, Uganda na kote hutangamana na kulala kwenye vyumba vya gesti, hayo magesti unakuta hata mashuka na malazi yanafuliwa mara moja kwa wiki, ndio mziki wenyewe unanogea hapo.
 
Bongo tunakufa sana kuliko dunia nzima una jirani au jamaa yoyote aliyekufa kwa C19? Acha waje waponee huku
Wabongo tuna IQ ndogo sana wala si uwongo.
Maabara yetu tumeifunga kupisha uchunguzi,hivyo vipimo mlivipimia nchi gani??

Acheni siasa kwenye maisha ya watu,hao watalii watakaokuja kwenye nchi isiyojali maisha ya watu kama hapa kwetu wanatoka sayari gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa Arusha Mrisho Gambo amefunga mpaka wa Namanga kwa Magari yanayotoka Kenya hadi madereva wa Kenya wapimwe kwanza COVID -19 na wasubiri majibu.
Wameiga wenzetu Kenya wanavyofanya
Which is good
By the way,wa Kenya hawajalalamika juu utaratibu,ni Mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanaotunga hizi mambo wangekuwa na akili wawatege wakenya kwenye issue nyingine, lakini sio kufanya kisasi hapohapo, ni uvivu wa kufikiri.

Nasema kisasi kwasababu maabara yetu tulishaambiwa imefungwa kwa uchunguzi, na hatukuwahi kuambiwa kama imeshafunguliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mi nahisi kuruhusu utalii ni kubeti na maisha ya wa tz maana saivi tunaamini haipo ila wakishaanza kuingia wale nguruwe sidhani Kama watatuacha salama.wanakuja ili kujiokoa na hali ya hewa ya kwao na kujifukiza mixa malimao hawana jipya japo vimelea vyao wale nguruwe sidhani Kama havina Kasi Kama vyetu
 
Back
Top Bottom