Chadema si ulisema imekufa? Mbona bado unahangaika nayo, au huna raha bila chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sana.....!!!
Unaamini madereva was tz wana C19 kweli?unaamini aliugua yule ?
Unaamini madereva was tz wana C19 kweli?
Huu ni urongo.
Tanzania hatuna kipimo cha Covid-19 tulicho nacho ni kibovu hivo Madreva wetu wakiingia Kenya, Uganda au Rwanda lazima wapime ili kujua Wana maambukizi au la! Hilo ni takwa la WHO na halina ubishi.
Kama Tz wanatilia shaka vipimo vya jirani zetu wanunue Kipimo kingine toka kwa MABEBERU ili WAJIRIDHISHE...!!!!
Sisi tunatumia maabara ipi? Ile ya mapapai ambayo muheshimiwa alisema tusiikubali vipimo vyake?Wakifanya wao, sawa. Tukifanya sisi, siasa. Hapa ndiyo utajua akili ya mtu mzima na mwendawazimu haziwezi kuwa sawa!
Mbona wakirudishwa hawawekwi karantinii
Very correct 100%, yani inatufanya tuonekane wa hovyo sana kila mkuu wa mkoa anajifungia ka oanya riad kaje. Kwanini waziro hufija asingetoa tamko moja tu
https://jamii.app/JFUserGuide you. 🖕You are a bollocks per se, I don't care if a bomboclaat ignores me.
Mbona hasira bosiiiii tuliaaaaaaa,😀😀😀😀Jibu hoja we Fala ,
Wametumia Maabara ya wapi? Maana Maabara Kuu ya Taifa tuliambiwa kuwa imesimama kufanya vipimo vya Covid19?