HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,545
Zaidi ya milioni 150. Afu sina hata 1000 mfukoniUnadaiwa sh ngap
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaidi ya milioni 150. Afu sina hata 1000 mfukoniUnadaiwa sh ngap
Kudaiwa si sifaTatizo sio kudaiwa na kama hudaiwi basi huna akili! Tatizo ni pale unapojitia mjuaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka nyumba rehani kopa bank
Yaani nikaweke nyumba rehani afu nikope benki?Weka nyumba rehani kopa bank
Hahahahaaaa.Hahaha boss unadai unakaba mtu kooni kabisa
Mi nadhani huyu ndugu amekueleza kuwa alipitia changamoto hakuitegemea
Japo sio justification hio ya kutokulipa
Maneno yako pia duh hatariii una maneno ya shombo
Matatizo gani hayo yalitokea?Yaani nikaweke nyumba rehani afu nikope benki?
Watanisamehe maana hawajanidai wanajua matatizo yaliyotokea maana walikuwepo yakitokea. Ila natamani niwalipe hata kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
me demu wngu anadaiwa hko alipokopa sasa mimi ndo nmepewa msala wa kulipa deni napata usumbufu sana sema nini kwa vile ana chura ndo maana sina usemi nitalipa tu
Kama hudaiwi huna akili unamaanisha nini mkuu?Tatizo sio kudaiwa na kama hudaiwi basi huna akili! Tatizo ni pale unapojitia mjuaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Billgates.Tatizo sio kudaiwa na kama hudaiwi basi huna akili! Tatizo ni pale unapojitia mjuaji
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaOrodha ya taasisi zinazo nidai
HESLB: 12,568,400/=
BENKI YA CRDB (SALARY ADVANCE) 75,000/=
TPB BANK: 1,000,000/=
NBC BANK: 1,200,000//=
BOA: 1,000,000/=
ABC BANC: 4,367,390/=
TIGO NIWEZESHE: 48,000 (WAMENISAMEHE MAANA NATUMIA TIGOPESA FRESH TU)
AIRTEL MONEY: 35,000/= (NIMETUPA LINE)
BRANCH 18900/= WANANITUMIA VITISHO
TALA: 22,000/= WALINITISHAGA MPAKA WAMEFILISIKA.
Bado naamini nakopesheka, mimi ni tajiri mno, nisingekuwa tajiri wasinge nikopesha. NATEMBEA KIFUA MBERE!
HAKUNA RAIA WAKAWAIDA ANAYE NIDAI UKIONDOA ILE 60,000/= NINAYODAIWA NA WASHKAJI NA MWEZI HUU NITAPUNGUZA 35,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Orodha ya taasisi zinazo nidai
HESLB: 12,568,400/=
BENKI YA CRDB (SALARY ADVANCE) 75,000/=
TPB BANK: 1,000,000/=
NBC BANK: 1,200,000//=
BOA: 1,000,000/=
ABC BANC: 4,367,390/=
TIGO NIWEZESHE: 48,000 (WAMENISAMEHE MAANA NATUMIA TIGOPESA FRESH TU)
AIRTEL MONEY: 35,000/= (NIMETUPA LINE)
BRANCH 18900/= WANANITUMIA VITISHO
TALA: 22,000/= WALINITISHAGA MPAKA WAMEFILISIKA.
Bado naamini nakopesheka, mimi ni tajiri mno, nisingekuwa tajiri wasinge nikopesha. NATEMBEA KIFUA MBERE!
HAKUNA RAIA WAKAWAIDA ANAYE NIDAI UKIONDOA ILE 60,000/= NINAYODAIWA NA WASHKAJI NA MWEZI HUU NITAPUNGUZA 35,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
HABARI WANAJAMVI.
Ni matumaini yangu kuwa mko salama. Tujielekeze kwenye mada husika. Katika maisha yetu ni kitu cha kawaida kudaiwa aidha fedha, vitu n.k au Kudai. Madeni ni kitu cha kawaida lakini kimepelekea watu kugombana hata mahusiano kuvunjika au kufa kabisa sababu ya madeni..
Uzi huu nimeuleta rasmi Ili watu wafunguke changamoto wanazokutana nazo katika kudai na kudaiwa, Funguka unadaiwa kiasi gani au unadai kiasi gani kwa watu mbalimbali naunafanya nini kumaliza madeni yako au unafanyaje kudai madeni huku ukiendelea na uhusiano mzuri na wadeni wako?
Upande wangu. Kuna rafiki alikuja ofisini kwangu akaomba nimkopeshe laptops 6 used kwa ajili ya kiofisi chake kipya gharama yake ilikuwa Tsh 3,000,0000/= yaani 500k@ laptop. Akatoa advance 500K. Namdai 2.5M. Huu ni mwezi wa 6 sasa ananizungusha. Na alivyo wa ajabu kwa sasa kila siku asubuhi amekuwa mwaminifu sana hunitumia mafungu ya Biblia yenye mrengo wa namna Mungu anavyotupenda na tunavyopaswa kuwasamehe wengine. Sasa sijui ndo nishadhulumiwa?.
KARIBU FUNGUKA CHANGAMOTO ZAKO ZA MADENI NA NAMNA GANI TUSAIDIANE HAPA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipangishe mie nahitaji chumbaMie nina mpangaji wangu, ni baba mwenye familia yake, sasa hapo kwenye nyumba yangu alimpangishia mchepuko wake, nina mdai kodi ya miezi sita, sababu ananiambia hali ngumu!
Nikamuuliza kama unajua una hali ngumu kwanini ujiingize kwenye kupangisha mchepuko?
Jibu lake: "sasa hapo naona mama unaingilia faragha yangu..."
Nawaza kumtimua kwa kweli!
Hapo kwa taasisi ya Govt ungetuvumilia kidogo tuna vimiradi miradi tunaimalizia,Nadai watu watatu na taasisi moja (gvt) , wawili ninao wadai ni ndugu na mwingine ni mmoja ni best (male). Bodi ya mikopo inanidai hahaaaa kila nikipita pale ofisini kwao nastukahahaaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo