Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,651
- 68,598
Hapo kwa taasisi ya Govt ungetuvumilia kidogo tuna vimiradi miradi tunaimalizia,
Hapo kwa taasisi ya Govt ungetuvumilia kidogo tuna vimiradi miradi tunaimalizia,
Ni kheri ukatoa kitu chako chochote na ukakiweka bond kuliko kumkopa mtu na kutomrudishia iyo ni kama dhulumaNina mpango wa kukopa kwa mtu hapa 2m nipen maujanja maujanja ila najilipua tu sina uhakika kama hii hela itarudi au laa
Toka 2016 japo wanalalamika chini chini. Wengine wanasema kabisa umetutia hasara. Ila ndo hivyo siwezi lipa na sina cha kuuza kuzilipawe jamaa nlikuwa nadaiwa 20 nikapambana mpaka nikailipa kwa mbinde sasa ivi naona nna ahueni yan napumua kabisa nakaa bar naagiza six pack ya budwizer , deni lisikie tu kwa mtu aisee, alafu ela yenyewe nlienda kufanya kilimo hela ikazama shambani kudadeki...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hatukatai kuwa subira ni muhimu. Lakini je kwa huo muda wa miezi sita ni kwamba hajapata hata laki 5 aanze kupunguza deni ili mwenzake nae aendelee na shughuli zake ? Au ndo kisa kashatatua shida zake basi ndo anamsahau mwenzake.Kama anatuma hivyo vifungu vya Bible naweza sema anahofu ya Mungu kama anafofu ya Mungu na analijua neno hivyo basi atakulipa kuwa na subira 2.5M sio helandogo na sio rahisi pia kumdhurumu mtu coz nikiasi kikubwa chapesa mpemuda atalipa taratibu mkuu.
Acha tamaa unapenda sana vya kunyonga vya kuchinja huviwezi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTEAsante madamu bahati naomba kwa moyo mweupe kabisa nifanye "demo" kwako jinsi ya kuchinja, nakuhaidi sintokuangusha!
Toka 2016 japo wanalalamika chini chini. Wengine wanasema kabisa umetutia hasara. Ila ndo hivyo siwezi lipa na sina cha kuuza kuzilipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah eti unaingilia faragha yakeMie nina mpangaji wangu, ni baba mwenye familia yake, sasa hapo kwenye nyumba yangu alimpangishia mchepuko wake, nina mdai kodi ya miezi sita, sababu ananiambia hali ngumu!
Nikamuuliza kama unajua una hali ngumu kwanini ujiingize kwenye kupangisha mchepuko?
Jibu lake: "sasa hapo naona mama unaingilia faragha yangu..."
Nawaza kumtimua kwa kweli!
hahahahahahahahaha,yaani hahahahaHahahah eti unaingilia faragha yake
Ulisaidiwa nauli kwenda muona mmeo. Acha roho mbayaKwa kweli mtu nimpe hela yangu ya jasho alafu anizulumu, huwa naomba mmoja alikufa, mwingine kapata kichaa. Yaani naomba hasa.
Mlete niombe hadi ashike Nguo mkononi.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1289185
Akija na mstari na wewe mpe mstari
Haka hapa, nataka nikaone full aseeKuna kapicha ka ujumbe wa watsap kanaonekana kabla ya kufungua uzi ila nimeperuzi kurasa zote sijakaona asee
Kana maneno makali kwel ila mi yamenichekesha, aliyekatuma naomba ani quote nako basi wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni wetu sote kumbuka HiloKwa kweli mtu nimpe hela yangu ya jasho alafu anizulumu, huwa naomba mmoja alikufa, mwingine kapata kichaa. Yaani naomba hasa.
Mlete niombe hadi ashike Nguo mkononi.
Sent using Jamii Forums mobile app