mademu wa kizungu hawapigi mizinga kama wakibongo?

mademu wa kizungu hawapigi mizinga kama wakibongo?

mimi hili la kuombwa pesa baada ya nanihii yakera sana, nimehama miaka mingi kwa ajili hiyo.
 
Hata bongo kuna mademu decent ambao hawaendekezi njaa na dhiki mshenzi ambao hawapigi mizinga ya kijinga na kujidhalilisha. That being said, mpende dem wako and take pride in providing for her hata kama hajakupiga mzinga. Surprise her and she'll genuinely love and have utmost respect for you. Akikupenda na asipokupiga mizinga sio basi kuanza ubahili wa kijingajinga!
 
Kesho sitashangaa ukija na hoja inayosema mademu wa kizungu hawajisaidii haja kubwa simply because hawaonyeshwi kwenye movie wakienda kujisaidia haja kubwa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hahahahahahahaha! Tunaenda kimovie movie tu. Lol
 
Hata bongo kuna mademu decent ambao hawaendekezi njaa na dhiki mshenzi ambao hawapigi mizinga ya kijinga. That being said, mpende dem wako and take pride in providing for her hata kama hajakupiga mzinga. Surprise her and she'll genuinely love and have utmost respect for you. Akikupenda na asipokupiga mizinga sio basi kuanza ubahili wa kijingajinga!

like like like!!
 
Hata bongo kuna mademu decent ambao hawaendekezi njaa na dhiki mshenzi ambao hawapigi mizinga ya kijinga na kujidhalilisha. That being said, mpende dem wako and take pride in providing for her hata kama hajakupiga mzinga. Surprise her and she'll genuinely love and have utmost respect for you. Akikupenda na asipokupiga mizinga sio basi kuanza ubahili wa kijingajinga!

ur really a gentleman..
Huyu mleta mada hajielewi kwanza anarefer movie...
Kiukweli kabisa wanaume wa kibongo bila mizinga hawaendi.
Na usipomuomba wewe atamtafuta atakeyemuomba.
Na ukijifanya decent hupigi mizinga mhhh itakula kwako.
Wapo wanaume wachache wanaojua kutake care of a lady na mwanamke hata hapigi mzinga sababu mwanaume anajua majukumu yake.
 
Pamoja na kuwa mimi ni mwanaume, lazima tuwe wakweli kuwa hata mimi nimejifunza sana ughaibuni kutoka kwa wanaume wa huku.
Gifts, suprises, trips ... zikiwa hazipigi chenga, mwanamke hakuombi hela. Ataona hata aibu.

Waeleze waeleze, wanaume wa Kibongo hawajui kujipendekeza kwa mwanamke.

Wakati mwengine watu wanaomba sio kwa sababu hawamiliki bali ni kuomba affection tu kutoka kwako
 
sijawahi piga mzinga
lakini napewa tu.

Hivi kwa mwanamme, hadi mwanamke akuombe ndio umpe kitu?

Hata mwanamke kuna wakati anajikongoja na yeye anatoa ki gift.
 
Nimeangalia muvi nyingi za hollywood za mapenzi sijawahi kuona demu akimpiga mzinga bf wake. Atapigwa mti na kusepa bila kuomba nauli wala hela yya matumizi sijui hela ya saluni. Au watatoka out kula kila moja atalipa.
Hii tabia ya kuombaomba mademu wa bongo wameiiga wapi? Maana ukilala naye lazima akupige mzinga kama kakuuzia. Mbona wabongo mnalaana hv kila ubaya mnao nyie. Bora mtu uchukue wanaojiuza rasmi kona baa ujue moja.
Shida ya mademu wa kibongo ni kuwa wanawatumia wanaume kama baba zao kimatumizi na kama kaka zao kingono
 
Kwa chips hao,kidogo leo nyumbani wamepika ugali na chips

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Je nikweli wanawake wamezaliwa ili wapewe?

Wanadai haki sawa mbona kwenye financial matters huwa hawagusii kuhusu huo usawa?

Wanaosema wanapewa bila kuomba,mbona wao hawanatabia ya kutoa kwa watu wao bila kuombwa?
 
Preta , lara 1 kubwa la maadui, Zinduna , charminglady , Bigirita , Ciello njooni mjibu hii hoja!!

cc: watu8

Hahaha...wasichana/wanawake wenye dhiki ndio wapigao mizinga(hii term bado ni tata) mkuu.
Huwa kuna matumizi ya kawaida ambayo mke huyapata kwa mumewe, sasa wasichana ambao hawajaolewa wamekuwa wakijihesabia haki ya mke na kujiona nao ima faima inapaswa watunzwe kwa kiwango sawa na walioolewa.
Hii sidhani kama ni sahihi, kuna mipaka na kiwango cha kusaidia nayo hutegemea ridhaa na hulka ya moyo wa mwanaume.
Zipo familia ambazo zikishaona mwanao wa kike kapata Boyfriend, basi watataka wale UBWABWA kila siku, wanunuliwe TV, banda ya uani limaliziwe,ada ya wadogo shule n.k n.k....hii ndio mizinga yenyewe maana huyu hajawa mume bado na hayo si majukumu yake unless karidhia.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha...wasichana/wanawake wenye dhiki ndio wapigao mizinga(hii term bado ni tata) mkuu.
Huwa kuna matumizi ya kawaida ambayo mke huyapata kwa mumewe, sasa wasichana ambao hawajaolewa wamekuwa wakijihesabia haki ya mke na kujiona nao ima faima inapaswa watunzwe kwa kiwango sawa na walioolewa.
Hii sidhani kama ni sahihi, kuna mipaka na kiwango cha kusaidia nayo hutegemea ridhaa na hulka ya moyo wa mwanaume.
Zipo familia ambazo zikishaona mwanao wa kike kapata Boyfriend, basi watataka wale UBWABWA kila siku, wanunuliwe TV, banda ya uani limaliziwe,ada ya wadogo shule n.k n.k....hii ndio mizinga yenyewe maana huyu hajawa mume bado na hayo si majukumu yake unless karidhia.

Yaani demu akipata boyfriend anaona kama kapata ajira.
 
Nimeangalia muvi nyingi za hollywood za mapenzi sijawahi kuona demu akimpiga mzinga bf wake. Atapigwa mti na kusepa bila kuomba nauli wala hela yya matumizi sijui hela ya saluni. Au watatoka out kula kila moja atalipa.
Hii tabia ya kuombaomba mademu wa bongo wameiiga wapi? Maana ukilala naye lazima akupige mzinga kama kakuuzia. Mbona wabongo mnalaana hv kila ubaya mnao nyie. Bora mtu uchukue wanaojiuza rasmi kona baa ujue moja.

umenena wangu....ndio maana mie najichukuliaga zangu pale malaya natulia. to make matrers worse utampa hela bidada baada ya kumgegeda alafu bado atakuletea drama za kichizi...as if she doing u a favor kumgegeda
 
Back
Top Bottom