Me nna girlfriend kutoka usa, mara ya 1 kutoka out nikataka kulipa akakataa hvyo akalipa nusu nami nusu. Licha ya kulazimisha nilipe yote alikataa. Nikamwambia huku bongo wanaume ndo tunalipa, akanambia yexe si mbongo. Kwa hyo tumeshazoea kila tukitoka out wakat wa kulipa me namtania kwa kumuuliza "Bongo style or american style" anachagua american style. Hivyo ndo walivyo wenzetu.