Mademu wa kileo pasua kichwa

Mademu wa kileo pasua kichwa

Mwa chando

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
359
Reaction score
122
Mademu wa leo kama
upo KIBAHA ww upo TANDIKA,
Utäckia ona thatha mapenz gan yenyewe
haya c bora tuachane,
lakini kama upo U.S.A
utackia baby mm nakupenda ntavumilia mbaka urudi tuowane!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaa!!!! Umetisha mkuu
 
Mademu wa leo kama
upo KIBAHA ww upo TANDIKA,
Utäckia ona thatha mapenz gan yenyewe
haya c bora tuachane,
lakini kama upo U.S.A
utackia baby mm nakupenda ntavumilia mbaka urudi tuowane!
Sasa wewe ukisikia wanasema hapendwi mtu unafikiri wanamaanisha nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom