Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Jamani naomba kuuliza jambo hapa: Hivi kwa nini mademu wa kibongo wanapenda vitambi?
Mfano utakuta demu bomba ile mbaya akiwa amekaa sehemu, anapoinuka utaona mtumbo huo kama mlevi wa matap tap, na mademu wengi wa kibongo haswa wa hapa Dar wako hivi.
Swali; je ni ujiko? Kingine, hamjui kwa kuwa na vitambi kama hivi kunatufanya tusidinde? Maana inakuwa kama unalala na mwanamme mwenzako, jamani inakera!
Mfano utakuta demu bomba ile mbaya akiwa amekaa sehemu, anapoinuka utaona mtumbo huo kama mlevi wa matap tap, na mademu wengi wa kibongo haswa wa hapa Dar wako hivi.
Swali; je ni ujiko? Kingine, hamjui kwa kuwa na vitambi kama hivi kunatufanya tusidinde? Maana inakuwa kama unalala na mwanamme mwenzako, jamani inakera!