Mademu sijui niliwapa nini ata uwa sielewi

Mademu sijui niliwapa nini ata uwa sielewi

Hivi hii post ina miaka 26 tangu izaliwe kweli?

Hivi unasoma darasa la ngapi vile?
 
Uzi unanukia maziwa maziwa.Dada hajakunawisha vizuri.Siku nyingine ukimaliza kunywa uji/ maziwa usimkimbie Dada,hakikisha kakunawisha vizuri.Sawa toto?
 
nataka niwaache wote naombeni ushauri nifanyeje ili nifanikiwe? Unawaachaje wakati huna mahusiano nao? Ni kujiongeza tu kama huna mpango nao unawablock.
 
Una miaka 26, umeenda kusoma nje 4yrs, wewe ni entrepreneurship, kwa wenye brain hapa wakikonnect dot Kuna CHAI HAPA IMEZIDISHWA TANGAWIZI
 
Jamani naombeni ushauri mimi ni kijana 26 year hivi na mimi ni mjasiliamali

sijaoa wala sina mtoto lakini cha kushangaza mademu wananisumbua balaa

kuna wasichana tuliachana nao shule zamani lakini mpaka leo wananipigia simu wanataka ndoa daaah....

imagine anakupigia simu unakuta uko busy unamwambia muongee badae lakini umpigii badae lakini kesho utaona tena anakupigia..

halafu wala hawajari kwamba ni muda wa kazi au upo free wenyewe ni kupiga tu.

halafu cha kushangaza walio wengi sijawai fanya nao kitu chochote lakini wanaonekana kama wananitaka kwa udi na uvumba

kwa siku uwa napokea simu sio chini ya 5-7 za mademu tofauti tofauti wakati huo mimi uwa niko busy na kazi zangu

wengine mpaka wanaapa kujiua wakati sijawai waambia chochote kuhusu ndoa

sasa mimi najiuliza hivi kwanini wananiangaikia namna ile hata sipati jibu

kuna kipindi nilienda kusoma nje 4 years lakini niliporudi tu tayari wakajua kupitia ndugu zangu na wakaanza tena .

kiukweli kati yao wote bado sijaona msichana wa kuoa naombeni mnishauri nifanyeje maana wengine wanatishia kujiua kwa sababu yangu, but mi najiuliza nitawezaje kuepuka ?

naombeni ushauri maana sijaplan kuoa mpaka nifike 30 hivi halafu nahitaji msichana type yangu yaani mjasiliamali kama mimi ..

nataka niwaache wote naombeni ushauri nifanyeje ili nifanikiwe?
hawana adabu hao mabinti ebu nitumie namba zao niwakanye hiyo tabia..
 
Back
Top Bottom