Hahahahahhahaahahahahahahaaa, kama uko kwenye social media ambazo huwa unarusha / unaweka picha zako, basi kuna siku bila wewe kujua ulipost picha yako ya maeneo pendwa wakaona unachomiliki hivo wanataka kufanya majaribio. Laaah wa nakupigia chabo ukiwa unaoga wewe hujui...
Dawa ya kuwakimbia na kuwaweka mbali na wewe ni kuwafungulia miadi halafu uwape malengo magumu wayatimize na uwaambie atayeleta mapato mengi kuzidi malengo aliyowekewa ndo ataolewa.
Watakuingizia hela kuliko unavyodhani na sababu watakuwa busy kutimiza malengo ili waolewe hawatakusumbua. Ukishamuacha hela unavuta kaschana ukapendacho unaoa.
Life is never fair, wewe unaona usumbufu mwingine anatamani hata psii psii hehehehehhee.
Kasinde.