Madee alipoulizwa kuhusu kuiba simu: Sijutii na haki yangu haipotei

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,061
Msanii Hamad Ally anayetuhumiwa kuiba simu amesema mtu anayedaiwa kumpora simu alimlipa hela ya kufanyia video lakini akawa hana vifaa na shida ndipo ilipoanzia amesema yeye hela yake haipotei na hata kama imechukuliwa na maiti hivyo akafanya mpango na kutafuta polisi ili simu yake irudishwe lakini hakutaja kilichotokea kati yao hadi hela yake ikapatikana na upande wa pili ukabaki unalalamika lakini anasema hajutii

 
Siku akiacha kuwa maliyoo mambo yatakuwa yamebadilika. Mjini hapa kuna mambo sana. Idadi ya wanaume wanaolelewa na kina mama inazidi kukua kwa kasi. Hata kwa hawa wanaojiita masupastaa
 
Siku akiacha kuwa maliyoo mambo yatakuwa yamebadilika. Mjini hapa kuna mambo sana. Idadi ya wanaume wanaolelewa na kina mama inazidi kukua kwa kasi. Hata kwa hawa wanaojiita masupastaa
Huyu jamaa aliwahi kusema ile ngoma ya "Pombe Yangu" ilimuingizia zaidi ya Tzs.100million, sasa inakuaje anakua Marioo tena?
 
Kweli Bongo rhumba kali, yaani hela yenyewe ni $500 ndio imezua zogo hivi.
 
Huyu jamaa aliwahi kusema ile ngoma ya "Pombe Yangu" ilimuingizia zaidi ya Tzs.100million, sasa inakuaje anakua Marioo tena?
Hata wewe unaweza kusema kazi zako zinakuingizia milioni 200 nani atakubishia?!
 
Back
Top Bottom