Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Last edited by a moderator:
Kwanini ushindwe miss chagga?
kumbe ngoja niende nikamfaidi kule
Kwa ile picha yako niliyoiona hakushindi, chezea miss chagga??
Kule wewe ni nani na Mimi nikufaidi
Mianamke mirembo sana ndio mijinga kabisa na kichwani hamnazo, haikawii kukuuliza "hivi big g zinalimwa mkoa gani?"
ngoja nitakuambia ngoja nimfaid kwanza huyu binti
ngoja nitakuambia ngoja nimfaid kwanza huyu binti
Nambie twende sambamba
Kaambie kazifute pm zimejaa na yangu ipate nafasi naona bado ipo pending ili afanye chahuo sahihi
watu wambea kumbe
acha promo basi mkuu mbona hivyo
ukiona mtu amepiga picha mweupee kama mchina jua ni mimi .... alafu namlike maria dimpos
Kwani uongo au nini?
Yangu macho.
Cc😡miss chagga.