ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Hii inatufundisha nini haswa?
Katika matokeo ya Form 4 yaliotoka miezi michache iliyopita Mwanafunzi kutoka shule ya Kata Aibuka kidedea aongoza hesabu Tanzania nzima, ni kutoka katika Wilaya ya Tarime shule ya Secondary Nkende ipo njiani ukiwa unaelekea Sirari ipo nje ya mji wa tarime inapakana na Mlima wa Chambili (aliyekuwa mbunge wa tarime).
Ningependa serikari iweke kila mahitaji ya wanafunzi ili waweze kufanya vizuri zaidi,
Naamini nkende hakuna umeme wala hawana Labaratory kwa ajili ya practical je! ni wanafunzi wangapi wenye uwezo ktk hizi shule za kata lkn wanakosa Miundombinu ya kusoma kwa vitendo?
Wananchi tusidharau shule za kata hata kama zipo kijijini kama ilivyo hii Nkende,
Wizara iwemakini katika kuangalia shule zote kwa usawa maana kama hizi shule zikikosa maabala labda tungepata mtaalamu lkn kutoka na miundombinu mtu anaashindwa kufanya masomo ya sayansi anakimbilia masomo ya Siasa ambayo hayaitaji maabala na hivyo tunapoteza vichwa muhimu ktk taifa letu.
Na Wizara husika inashindwa kumpa moyo na kutoa changamoto ili watu wasikimbilie St, Seminary n.k , Lakini naamini tutafika tu na sisi tutakuwa juu miakahiyo tukiona Computer,simu, Printer n.k vimeandikwa MADE IN TANZANIA
Wizara husika isimamie haya mambo ya Elimu maana bila elimu hatutatoka jamani kwani hatuoni mfano kwa wenzetu!!!!!
Nawakilisha.
Katika matokeo ya Form 4 yaliotoka miezi michache iliyopita Mwanafunzi kutoka shule ya Kata Aibuka kidedea aongoza hesabu Tanzania nzima, ni kutoka katika Wilaya ya Tarime shule ya Secondary Nkende ipo njiani ukiwa unaelekea Sirari ipo nje ya mji wa tarime inapakana na Mlima wa Chambili (aliyekuwa mbunge wa tarime).
Ningependa serikari iweke kila mahitaji ya wanafunzi ili waweze kufanya vizuri zaidi,
Naamini nkende hakuna umeme wala hawana Labaratory kwa ajili ya practical je! ni wanafunzi wangapi wenye uwezo ktk hizi shule za kata lkn wanakosa Miundombinu ya kusoma kwa vitendo?
Wananchi tusidharau shule za kata hata kama zipo kijijini kama ilivyo hii Nkende,
Wizara iwemakini katika kuangalia shule zote kwa usawa maana kama hizi shule zikikosa maabala labda tungepata mtaalamu lkn kutoka na miundombinu mtu anaashindwa kufanya masomo ya sayansi anakimbilia masomo ya Siasa ambayo hayaitaji maabala na hivyo tunapoteza vichwa muhimu ktk taifa letu.
Na Wizara husika inashindwa kumpa moyo na kutoa changamoto ili watu wasikimbilie St, Seminary n.k , Lakini naamini tutafika tu na sisi tutakuwa juu miakahiyo tukiona Computer,simu, Printer n.k vimeandikwa MADE IN TANZANIA
Wizara husika isimamie haya mambo ya Elimu maana bila elimu hatutatoka jamani kwani hatuoni mfano kwa wenzetu!!!!!
Nawakilisha.
Last edited: