FikraPevu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2010
- 304
- 236
Raia wa Nigeria Anthony Igeanyichukwu Okafor amekamatwa Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere baada ya kushukiwa na kufanyiwa uchunguzi, wa Maafisa Uhamiaji, akijaribu kuingia nchini akiwa amemeza madawa ya kulevya. Uchunguzi unaendelea.
Aliwasili nchini akitumia ndege ya shirika la ndege la Ethiopia alfajiri ya leo tarehe 07/06/2014
Kwa habari zaidi chanzo: http://www.fikrapevu.com/jnia-nabs-...ukwu-okafor-making-it-two-nigerians-in-a-row/
Aliwasili nchini akitumia ndege ya shirika la ndege la Ethiopia alfajiri ya leo tarehe 07/06/2014
Kwa habari zaidi chanzo: http://www.fikrapevu.com/jnia-nabs-...ukwu-okafor-making-it-two-nigerians-in-a-row/