uranium
Member
- Jun 18, 2013
- 77
- 40
Ingekuwa China tayari tungeshamsahau. Ila kwa kuwa yupo kwenye genge la wenzie anaofanana nao hakuna noma.Jana nilimuona mzee madabida aakiongea wakati mkuu wa mkoa alipoita waandishi wa habari kuongea kuhusu madawa ya kulevya,huyu mzee aliongea meeeengi na jinsi CCM inavyopambana ili kutokomeza madawa haya yanayoangamiza nguvu kazi ya taifa.
Swali likanijia hivi huyu si ndo mtu alokuwa anatengeneza ARV feki na watu wengi walikufa kwa sababu ya kuzitumia?hivi CCM hawaoni kuwa ARV Feki ni bomu lingine lililoangamiza watanzania.?hivi madabida alipata wapi moral authority ya kukemea uovu huu wa madawa wakati yeye aliweka ma rehani ya watu wetu wengi kwa ARV zile feki?